 |
Kama
ndo machine aliyo nunua safari hii basi katisha aisee maana hii ni one
of the most expensive and luxury cars around na hela yake ni ndefu sana.
It's confirmed gari kanuna na soon mtaiona mitaa ya kati. Davis
yaelekea ni mpenzi sana wa magari mazuri na of course uwezo wa kuyanunua
anao cause he works so damn hard. Hongera sana Davis can't wait to see
this new toy in Bongo. Hii ndo inaitwa "Tumia Pesa Ikuzoeee" |
Cheki lamboghin yake sasa.
 |
Hi ni gari nyingine aina ya Lamborghini anayo miliki mfanyabiashara Davis Mosha huko Bongo.
"Heshima Pesa Shikamoo Makelele" |
BONGO NEWS 4 NEWS#
No comments:
Post a Comment