Pages

Friday

KILI MUSSIC TOUR KUKI NUKISHA MOSHI KESHO


Kampuni ya bia ya kili manjaro iki shirikiana na wasanii walio pokea tuzo za kazi zao bora kesho watakua ndani ya mji wamoshi kwenye viwanja vya ushirika.Wasanii watakao kuwapo ni pamoja na Diamond,Snurah(Majanga),Ben paul,Lady jayde,Profesa J,John makini,Kalla Jeremaya nawengine wengi show ita anza saa kumi jioni kwa kiingilio cha Tsh,2,500 huku uki pewa bia moja ya kilimanjaro mlangoni.

No comments:

Post a Comment