Pages

Friday

LADY JAYDEE ARUSHA TOUR: PICHA ZAKE ZA KWANZA AKIWA HUKO A.TOWN HIZI HAPA...


Siku ya leo mkoani Arusha kutakua na bonge la show litakalo dondoshwa na msanii Lady jdee (Anaconda) ndani ya ukumbi wa triple Akingilio kikiwa n sh.10,000 tu.Kwa wale wa karibu na hata mbali itawahusu na ina wahusu kwa saa..na.Hizi ndizo picha baadhi alizo photoa akiwa maeeno hayo na wadau kadhaa hivi cheki mwenyewe.



BONGO NEWS 4 NEWS#

No comments:

Post a Comment