Siku ya leo mkoani Arusha kutakua na bonge la show litakalo dondoshwa na msanii Lady jdee (Anaconda) ndani ya ukumbi wa triple Akingilio kikiwa n sh.10,000 tu.Kwa wale wa karibu na hata mbali itawahusu na ina wahusu kwa saa..na.Hizi ndizo picha baadhi alizo photoa akiwa maeeno hayo na wadau kadhaa hivi cheki mwenyewe.
BONGO NEWS 4 NEWS#
No comments:
Post a Comment