Pages

Thursday

RAY C AFUTA YA MASANJA, NAE AOKOKA KWA KUBATIZWA CHECK TUKIO ZIMA


Yule dada yetu msanii maarufu wa nyimbo za ubongo wa fuleva leo hii amewaka bayana ya kuwa yeye na shetani sasa ni paka na panya. Amethibitisha hayo katika post zake za instagram. Wambea hatuna maneno mengi zaidi ya kusema angalia picha hizo na wote tuseme AMEN umechagua njia njema.
BONGO NEWS 4 NEWS#

No comments:

Post a Comment