Pages

Wednesday

TAZAMA PICHA ZA TUKIO LA KUUNGUA KWA MOTO UWANJA WA NDEGE WA JOMO KENYATA


Moto mkubwa unaripotiwa kuzuka asubuhi hii katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyetta (JKIA) jijini Nairobi.


Chanzo cha moto huo bado hakijatambulika na juhudi za kuuzima zinaendelea, ambapo vikosi mbalimbali vya zimamoto vipo uwanjani hapo kuthibiti janga hilo.


Uwanja huo hivi sasa umefungwa na hakuna ndege kutua ama kuruka isipokuwa kwa dharura tu.





  Tayari moto umesha kwishazimwa na Rais wa nchi hiyo, Jomo Kenyatta amekwishafika eneo la tukio kukagua hali halisi ilivyo, Kwa sasa Uwanja wa ndege wa Mombasa ndio unatumika kwa kusaidia kuendeleza shughuli za kuwasili kwa ndege nchini humo.
BONGO NEWS 4 NEWS#

No comments:

Post a Comment