Pages
(Move to ...)
Home
SPORTS
PHOTOS
ENTERTAINMENT.
▼
Tuesday
Muonekano Utakao Tumika Na Bob Junior Kwenye Show Za Mwaka 2013
Bonyeza ReadMore Kuona Picha Zingine
Ameandika Kwenye Facebook page yake kuwa "
Huuu Ni Muonekano Wangu Mpya Kwa Showzz Zanguu Zotee 2013 Vipi Jamani Imekaa Sawaa!!!!
Leo Bob Junior ameniambia kuwa sababu za kubadilisha muonekano wake ni kuwa,
1] Anataka Atambulike kama Msanii Kutoka Africa anapokuwa kwenye jukwa lolote Duniani.
2] Kili Music Tour anayofanya sasa ina kauli Ya Kili Music Tour Kikwetu Kwetu So Ni Vizuri Awe Na Muonekano Huo.
3] Pia kuonyesha wasanii wengine kuwa ni kawaida kuwa na muonekano wa nyumbani na bado ukapendeza tu.
Fahamu Nguo Hizi Amebuni mwenyewe.
Bob Junior Akiwa Na Dancers Wake
BONGO NEWS 4 NEWS#
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment