Msanii wa Bongo Fleva aliyekiri kutumia madawa ya kulevya na
kuacha,Rehema Chalamila‘Ray C’ ameonyesha kukerwa na umbo lake la sasa
baada ya kunenepa kupita kiasi hali iliyomfanya aombe msaada ili aweze
kupungua.

Ray C ameomba msaada huo kwa msanii wa Bongo Muvi Salma Jabu
‘Nisha’kupitia mtandao wa instagram na kumwambia kuwa anaomba ampatie
diet yake ili na yeye apungue ambapo msanii huyo alimwambia kuwa
apunguze kula na afanye mazoezi.

‘Mie…

Msanii
wa Bongo Fleva aliyekiri kutumia madawa ya kulevya na kuacha,Rehema
Chalamila‘Ray C’ ameonyesha kukerwa na umbo lake la sasa baada ya
kunenepa kupita kiasi hali iliyomfanya aombe msaada ili aweze kupungua.

Ray
C ameomba msaada huo kwa msanii wa Bongo Muvi Salma Jabu ‘Nisha’kupitia
mtandao wa instagram na kumwambia kuwa anaomba ampatie diet yake ili na
yeye apungue ambapo msanii huyo alimwambia kuwa apunguze kula na afanye
mazoezi.

‘Mie mami ni mazoezi na nakula nimepunguza sana kula ni hivyo tu basi’’alisema Nisha akimwambia Ray C.
Ray C baada ya kupotea kwa muda mrefu alionekana kwa mara ya kwanza
akiwa ameonekana kufutuka usoni, kifuani na mapajani ambapo awali kabla
ya matatizo ya utumiaji wa madawa hayo hakuwa hivyo.
Msanii wa
Bongo Fleva aliyekiri kutumia madawa ya kulevya na kuacha,Rehema
Chalamila‘Ray C’ ameonyesha kukerwa na umbo lake la sasa baada ya
kunenepa kupita kiasi hali iliyomfanya aombe msaada ili aweze kupungua.

Ray
C ameomba msaada huo kwa msanii wa Bongo Muvi Salma Jabu ‘Nisha’kupitia
mtandao wa instagram na kumwambia kuwa anaomba ampatie diet yake ili na
yeye apungue ambapo msanii huyo alimwambia kuwa apunguze kula na afanye
mazoezi.

‘Mie mami ni mazoezi na nakula nimepunguza sana kula ni hivyo tu basi’’alisema Nisha akimwambia Ray C.
Ray C baada ya kupotea kwa muda mrefu alionekana kwa mara ya kwanza
akiwa ameonekana kufutuka usoni, kifuani na mapajani ambapo awali kabla
ya matatizo ya utumiaji wa madawa hayo hakuwa hivyo.
No comments:
Post a Comment