BAADA YA MIAKA 37 (2050) DUNIA YETU ITAKUWA HIVI....
Hili ni Swali
ambalo kila Mtu anapaswa kujiuliza Moyoni Mwake! Ukweli ni kwamba kwa
wenzetu si kama tunavyofikiri, wameshatengeneza au kubuni dunia ya mwaka
2050 itakavyo kuwa, na itakuwa ni Dunia ya ajabu iliyojawa na maajabu
ya wanadamu watakao kuwepo wakati huo. Utafiti wetu unaonyesha kwamba
Kampuni Ya MICROSOFT imeshandaa mpango huo na wameupa jina la Microsoft 2050 target technology.
MICROSOFT 2050 TARGET TECHNOLOGY
BONGO NEWS 4 NEWS#