Recent Posts

coments

HOT HEAD LINES

NEWS+HABARI-ZAIDI

ALL HERE DONE BY |

ALL HERE DONE BY |

**ADVERTISEMENT**

**ADVERTISE**

**ADVERTISE**

HAPPY BIRTH DAY

HAPPY BIRTH DAY
Powered by Blogger.

LAANA: WATUMIA VAZI LA MASISTER WA KANISA KUSAFIRISHIA MADAWA YA KULEVYA, HATIMAYE WANASWA AIRPORT

No comments


 
Wanawake watatu wamekamatwa kwa madai ya kujaribu kusafirisha dawa za kulevya kupitia uwanja wa ndege wakiwa wamevalia kama masista.
Wasafirishaji hao walisimamishwa wakati wakiwasili kwenye kituo maarufu cha mapumziko nchini Colombia, sababu polisi walifikiri kwamba mavazi yao hayakuwa yakionekana halisia.
Maofisa waligundua kwamba kila mwanamke kati yao alikuwa na zaidi ya kilo 4 za cocaine zikiwa zimefungwa katika miguu yake.

No comments :

Post a Comment

Hukumu ya Agnesi Masogange yakukutwa na madwa yakulevi yaanikwa.

No comments

BAADA ya kukamatwa na dawa za kulevya nchini Afrika Kusini, msanii anayeshiriki katika video za wasanii wa muziki wa bongo fleva, Agnes Jerald 'Masogange' na mwenzake Melisa Edward, ukweli umeibainika kwamba dawa walizokamatwa nazo ni za kutengenezea dawa za kulevya, ambazo hazipatikani nchini na hazina matumizi yoyote.

No comments :

Post a Comment

FEZA WA TANZANIA AGONGANISHA MABWANA BAADA YA KUINGIA KUONGA NA NJEMBA IKIWA UCHI BAFUNI

No comments



Shemeji yetu Mbotswana, Oneal amechukizwa na kitendo cha Feza Kessy kwenda kuoga na mwanaume mwingine.

No comments :

Post a Comment

JIONEE MAAJABU MAZISHI YA BABA'KE JOYCE KIRIA.

No comments
 MAAJABU yameibuka kwenye mazishi ya baba mzazi wa Mtangazaji wa Kipindi cha Wanawake Live kinachorushwa hewani na  Televisheni ya  East Africa, Joyce Kiria, Michael Francis Iwambo Kiria kufuatia kuchimbwa kwa makaburi mawili, Amani lina mkasa mzima.
Kondoo akichinjwa.
Tukio hilo la ajabu lilitokea kwenye msiba wa mzee huyo, Kata ya Kibosho, Kijiji cha Dakau, mkoani Kilimanjaro wakati wa maandalizi ya kuuhifadhi mwili wa merehemu huyo.

No comments :

Post a Comment

Sherehe ya Mandela hospitalini Medclinic

No comments


Raia wa Afrika Kusini akiwa na bango la kumtakia kheri ya siku ya kuzaliwa kwa Rais Mstaafu wa nchi hiyo, mjini Polokwane nchini humo. Picha na Mtandao 
Kwa ufupi
Siku ya Mandela huadhimishwa kuenzi kazi za kiongozi huyo alizozifanya kwa miaka 67 akiutumikia umma wa wananchi wa Afrika Kusini, zikiwamo vita dhidi ya ubaguzi wa rangi na hatimaye kuwa Rais wa kwanza mzalendo kwa miaka mitano, kisha kustaafu.

No comments :

Post a Comment

PICHA; MAJANGA YA WEMA NA MASHABIKI WAKE KUTOKA INSTAGRAM

No comments


Ama kweli ustaa kazi! Mrembo Wema Sepetu kakumbwa na kasheshe kutoka kwa mashabiki wake baada ya kutupia picha instagram akiwa kapozi na wengine kuanza kumlaumu kutokana na mwezi huu mtukufu wa Ramadhani. Japo alijitetea na kusema picha hizi alipiga kabla ya mwezi huu wengine hata hawakumuelewa! Cheki hapo chini..

No comments :

Post a Comment

AONDOLEWA FUVU LA KICHA UPANDE MMOJA BAADA YA KUSHAMBULIWA NA RAFIKI YAKE .......MAPENZI NDIO CHANZO

No comments

KUSHOTO: John Eccles baada ya kuondolewa sehemu ya fuvu lake. KATIKATI: Eccles akiwa hospitali baada ya kufanyiwa upasuaji wa fuvu lake. KULIA: Andrew Dodds.

No comments :

Post a Comment

MR BLUE ATOROKA HOTELINI KISA DENI LA SH 40,000.STORI KAMILI HII HAPA

No comments

Kupitia Kipindi cha Redio cha clouds fm U heard ya jana, inasemekana msanii Mr Blue amrubuni mfanya usafi wa hoteli inayoitwa Chriss, iliyoko Tarime, baada ya kuzuiwa kwa mabegi yake kwa kushindwa kulipa deni la shilingi elfu 40,000, inasemekana Mr Blue aliamua kucheza dili na mfanya usafi ili aende akamtolee mabegi yake na kumpa mtonyo kidogo, ambae alifanya hivyo na Blue kufanikiwa kuondoka bila kulipa deni hilo, kitu kilichosababisha mfanya usafi huyo kufukuzwa kazi..... 

No comments :

Post a Comment

Huyu ndiyo mtu tajiri sana kuwahi kutokea duniani.. unajua alikuwa na utajiri kiasi gani?
No comments

John Davison Rockefeller ndiyo mtu tajiri sana katika historia ya dunia hadi leo, unaambiwa utajiri wake ukifananisha na hawa matajiri wa karne hii amewaacha mbali kupita kiasi, ukichukua utajiri wa Bill Gates na Carlos Slim ambao wote kwa pamoja wana utajiri wa  billioni 140  bado hawatafikia hata nusu ya utajiri aliowahi kuwa nao huyu jamaa.

No comments :

Post a Comment

HOTEL 7 ZA KIFAHARI NCHINI TANZANIA - 5 STAR

No comments
Kirawira Luxury Tented Camp – Arusha
 Diamonds Star of the East

No comments :

Post a Comment

Dj Pq kuiwakilisha Tanzania ndani ya Big Brother The Chase 2013

No comments

Dj Pq, (Peter Chasama) kutoka Clouds Media Group, anatarajiwa kupiga ndani ya Big Brother House nchini South Africa, mwaka huu, ambapo atapiga siku ya jumamosi (20) kuwapa shangwe housemates
Dj Pq aliwahi kufanya kazi na kipindi cha XXL Clouds Fm, lakini kwasasa unamuona kupitia kipindi cha Cloud 9 kupitia Clouds Tv akiwa na DeeAndy.

No comments :

Post a Comment

JK ATUNUKU KAMISHENI MAAFISA WA JWTZ

No comments


MO9 3c06f
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa zawadi Ofisa Kadet D.G.L. Wong- Pool toka Visiwa vya Ushelisheli kwa kuibuka mwanafunzi bora wa kigeni wa jumla mwaka huu katika Chuo Cha Mafunzo ya Kijeshi (TMA) Monduli, Arusha, kabla ya kutunuku kamisheni kwa Maafisa wa JWTZ leo Julai 13. Jumla ya wahitimu 205, wakiwemo wanawake 25, wametunukiwa kamisheni na kuwa Luteni Usu, ambapo wahitimu wawili ni wa kutoka Uganda na Visiwa vya Shelisheli
BONGO NEWS 4 NEWS#

No comments :

Post a Comment

SHETTA FT RICH MAVOKO SINA IMANI{official video}
No comments
BONGO NEWS 4 NEWS#

No comments :

Post a Comment

Ney wa Mitego, baada ya ujauzito wa GF wake kutoka: Namuachia Mwenyezi Mungu, tutajaaliwa mwingine nafkiri may be ndio itakuwa rizki yetu.

No comments


Girlfiend wa Rapper Ney wa Mitego "Siwema" ambae alikuwa na ujauzito wa Rapper huyo, bad news ni kuwa mimba hiyo imetoka mara baada ya kuanguka akiwa bafuni baada ya kusikia kizunguzungu. Ney wa Mitego ameeleza kisa kilivyotokea.

No comments :

Post a Comment

Baada ya wanajeshi wa 7 wa Tanzania kuuwawa: Tanzania yapendekeza UN kufanyia marekebisho sheria ya kulinda amani

No comments


Baada ya walinda amani saba wa Tanzania kuuawa na watu waliokuwa wamejihami eneo la Darfur mwishoni wa wiki, na wengine wengi kujeruhiwa na baadhi wakiwa mahututi, Tanzania imependekeza kufanyiwa marekebisho sheria ya kulinda amani ya UN, ili kujikinga na mashambulizi.

No comments :

Post a Comment

WAKATI NANDO AKIHANGAIKA NA GONJWA LA ZINAA ALOPEWA, FEZA NAYE AMETANGAZA NIA YAKE YA KUZALISHWA NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER

No comments


Huenda Jay (mtoto wa kiume wa Feza Kessy) anaweza kupata wadogo zake wa kucheza nao soon. Hiyo ni kutokana na mama yake anayeiwakilisha Tanzania mwaka huu kwenye shindano la Big Brother Africa ‘The Chase’ kumwambia mchumba wake raia wa Botswana, Oneal kuwa angependa azae naye watoto.

No comments :

Post a Comment

Total Pageviews

About Us

Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.

Ads 468x60px

Blog Archive

Followers

IN ENTERTAINMENT

ADVERTISE MENT

**ADVERTISE MENT**

**ADVERTISE MENT**

VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )

TOP HEAD LINES