Recent Posts

coments

HOT HEAD LINES

NEWS+HABARI-ZAIDI

ALL HERE DONE BY |

ALL HERE DONE BY |

**ADVERTISEMENT**

**ADVERTISE**

**ADVERTISE**

HAPPY BIRTH DAY

HAPPY BIRTH DAY
Powered by Blogger.

HII NDIO MISHAHARA MIPYA SERIKALINI 2013.

No comments

madaktariMadaktari wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimuudumia mgonjwa hospitalini hapo. Wafanyakazi wa sekta ya afya ni miongoni wa walio ongezewa mishahara na serikari katika bajeti ya mwaka wa fedha 2013/14. Picha na Maktaba 

  

No comments :

Post a Comment

TAZAMA JINSI KAJALA MASANJA ALIVYO KWENYE ZIARA YAKE HUKO AFRICA KUSINI

No comments

 
Juzi mwigizaji wa bongo movie Kajala aliondokoka nchini kuelekea Afrika ya kusini kwa ajili ya safari binasfi ambayo pamoja na mambo mengine alitembelea shue ya uigizaji ya AFDA (AFDA the South African School of Motion Picture Medium and Live Performance) iliyopo nchini humo.

No comments :

Post a Comment

TAARIFA KAMILI KUHUSU ALLY KIBA KUKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA HUKO AMSTADAM

No comments
Ally Kiba
Siku hizi Tanzania kumekua na mambo meeeengi yanayozushwa au kuanzia kwenye mitandao ya kijamii sanasana facebook na twitter ambapo miongoni mwa makubwa ya wiki hii ni stori kwamba mwimbaji wa Bongofleva Ally Kiba amekamatwa na polisi wa Amsterdam kwa tuhuma mbalimbali na wengine walidiriki kuripoti kwamba ni dawa za kulevya.
Ally Kiba mwenyewe aliandika kwenye page yake ya twitter kama kukanusha lakini ni tweet ambayo haikuwa rahisi kuielewa au kufahamu alichomaanisha kama unavyoona hapa chini..
Ally Kiba akanusha kukamatwa na polisi Amsterdam July 25 2013 1 

No comments :

Post a Comment

RICK ROSS AMEZUNGUMZIA SUALA LA DJ KHALED KUTAKA KUMUOA NICK MINAJ...!! SOMA HAPA

No comments
Kufuatia kitendo cha DJ Khaleed kutangaza hisia zake kwa mwanadada Nicki Minaj pamoja na kumtumia maombi kumuoa kwa njia ya TV, Tukio ambalo limetokea kuwa gumzo kila kona, Rapa Rick Ross amemua katika mstari wa mbele kabisa kutoka orodha ya watu maarufu kutoa maoni yake juu ya tukio hili zima.


No comments :

Post a Comment

No comments

HII NDIO HISTORIA FUPI YA MAISHA YA MZEE SMALL

small-na-kingwendubc

Early life

Said Ngamba au Mzee Small (amezaliwa mw. 1955) ni msanii wa maigizo na vichekesho kutoka nchini Tanzania. Huenda akawa anaaminika zaidi kuwa mmoja wa wasanii wakongwe kwa nchi ya Tanzania, hasa katika fani ya uchekeshaji ambayo sasa inachezwa zaidi na vijana.

No comments :

Post a Comment

BREAKING NEWS: AUAWA KWA RISASI TEGETA

No comments

Wananchi wakibeba mwili wa marehemu baada ya kuuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana.

Mwanaume mmoja ambaye hakujulikana jina lake mara moja, muda mfupi uliopita ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana eneo la Tegeta jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, wauaji ni wanaume wawili waliokuwa katika pikipiki maarufu kama 'Bodaboda'. Marehemu alikuwa akishuka katika gari lake aina ya Toyota Mark II yenye namba za usajili T 508 ADY ndipo alipopigwa risasi kadhaa. KWA HABARI ZAIDI NA PICHA ZA TUKIO HILI, tutazidi kuwafahamisha.
 chanzo: Global PublishersBONGO NEWS 4 NEWS#

No comments :

Post a Comment

MUME WA IREEN UWOYA (NDIKUMANA), LUCY KOMBA LAIVU

No comments

LILE sakata la staa wa filamu za Kibongo, Irene Pancras Uwoya kutuhumu kumshika ugoni staa mwenzake aliyemtoa kwenye gemu, Lucy Francis Komba limeingia sura nyingine kuafutia picha za filamu inayodaiwa kuchezwa na wawili hao kunaswa na Ijumaa, twende hatua kwa hatua.
Katika baadhi ya matoleo ya Magazeti ya Global Publishers zilichapishwa habari za mastaa hao kuzua bifu zito kufuatia Lucy kumchukua mwanasoka wa Rwanda ambaye ni mume wa ndoa wa Uwoya, Hamad Ndikumana ‘Kataut’ na kucheza naye filamu jambo ambalo Uwoya alilipinga.

No comments :

Post a Comment

CHEKI MAPOKEZI YA POKELLON ALIPO REJEA NCHINI KWAO..

No comments
Baada ya kuwa evicted na kuaga rasmi shindano la Big brother the chase,Qeen of swag Pokello Nare kutoka nchini Zimbabwe hatimaye atua rasmi kwenye ardhi ya nchini kwao na kupata mapokezi ya nguvu katika uwanja wa ndege wa kimataifa Harare.

No comments :

Post a Comment

Mke anayedaiwa kupanga kumuua mumewe kortini

No comments

Arusha. 

Mwanamke anayedaiwa kupanga njama za kumuua mumewe wa ndoa na mtoto wa mume huyo, amepandishwa mahakamani akiwa na mtuhumiwa mwingine wa mauaji hayo.

No comments :

Post a Comment

HUYU NDIYE MWANAUME WA KWANZA AMBAYE HAJAWAI KUOGA WALA KUKATA NYWELE ZAKE ZAIDI YA MIAKA 37

No comments

 

Mr Singh na Mkewe  
Hakika haya tunaweza kuyaita mafanikio ya ajabu kwa mzee huyu kutokana maamuzi yake.Labda tumite Mr Adui wa Maji ila jina lake kamili ni Mr Kailash Singh akiwa na ndiye anayeshikilia rekodi ya mtu anayenuka zaidi kutokana na kutokuoga kwa zaidi ya miaka 37 sasa.

No comments :

Post a Comment

HIVI NDIVYO PEPE GUADIOLA ALIVYOIFUNGA BARCELONA LEO,MESSI ATOLEWA ABORONGA,BAYER MUNICH SAFI.

Good going: Pep Guardiola's side looked strong and imposing against Barcelona

Mwendo mzuri: Pep Guardiola ameifunga timu yake ya zamani, Barcelona

KOCHA wa Bayern Munich, Pep Guardiola ameifunga timu yake ya zamani, Barcelona mabao 2-0 katika mchezo wa kirafiki mjini Munich leo.
Philipp Lahm alifunga bao la kwanza dakika ya 14 na timu zikaenda kupumzika matokeo ya 1-0, kabla ya Bayern kupata bao la pili dakika ya 87 lililofungwa Mario Mandzukic.
 
Kikosi cha Bayern Munich kilikuwa: Neuer/Starke dk46, Rafinha, Dante/Van Buyten dk59, Boateng, Alaba, Thiago, Lahm/Gustavo dk59, Kroos, Ribery, Robben/Shaqiri dk46 na Muller/Mandzukic dk46.
Barcelona: Pinto/Oier dk46, Montoya/Kiko dk46, Bartra/Gomez dk46, Mascherano/Planas dk46, Adriano/Patric dk46, Song/Espinosa dk46, Sergi Roberto/Ilie dk46, Dos Santos/Quintilla dk46, Tello/Joan Roman dk46, Messi/Dongou dk46 na Alexis/Dani Nieto dk46.
On target: Philip Lahm (centre) struck early on for Bayern Munich as the Germans took control
Amefunga: Philip Lahm (katikati) alifunga bao la kwanza la Bayern Munich 

SHILOLE MBARONI KWA WIZI WA SIMU ZA DIAMOND...

No comments

STAA wa filamu na muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ameingia matatani akidaiwa kuingia mitini na simu tatu za mkononi alizoaminiwa nchini Afrika ya Kusini alikokwenda kufanya shoo.
Msanii huyo alikumbwa na kasheshe hilo Julai 19, 2013 nyumbani kwa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Sinza Mori, Dar.
Siku hiyo Diamond alikuwa akifuturisha na aliwaalika watu mbalimbali wakiwemo mastaa lakini nusura futuru iingie doa kufuatia zogo hilo.

No comments :

Post a Comment

KIVAZI CHA ZUA BALAA KANI SANI.

No comments

KIVAZI cha ndugu wa maharusi, kimesababisha patashika katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Mtakatifu Peter, baada ya Paroko Msaidizi wa Kanisa hilo, Padri Paulo Haule, kusitisha ibada mpaka mhusika atoke akavae vizuri.

No comments :

Post a Comment

PICHA ZA WANAJESHI WETU WALIOUWAWA KWA SHAMBULIO HUKO DAFUR. MUNGU AWALAZE MAHALA PEMA PEPONI AMINA

No comments


No comments :

Post a Comment

VIJANA WAUANA JIJINI MBEYA WAKIGOMBANIA PENZI LA MSICHANA.

No comments

Mnao tarehe 21/07/2012 majira ya saa 23:30hrs huko kijiji cha Nkwangu wilaya ya Chunya mkoa wa Mbeya, Seni s/o Sandu, miaka 20, Msukuma, mkulima na mkazi wa Nkwangu aliuawa kwa kupigwa fimbo kichwani na Tolo s/o Seko, miaka 20, Msukuma, mkulima na mkazi wa Nkwangu.
 
Chanzo ni ugomvi wa kumgombania msichana aitwaye Holo d/o Kulwa, miaka 16, Msukuma mkulima na mkazi wa Nkwangu.

No comments :

Post a Comment

HUYU NDIYE BILIONEA ALIYEMWAGIWA TINDIKALI.

No comments

MSHTUKO mkubwa ulijiri Jumamosi iliyopita, ikiwa ni baada ya kusambaa kwa habari za kumwagiwa tindikali, mfanyabiashara mwenye ‘levo’ ya ubilionea, Said Said Mohammed, 42, ambaye ndiye mmiliki na Mkurugenzi Mkuu wa Home Shopping Centre.
Nje ya jengo la Msasani Mall ambapo Said Said Mohammed alimwagiwa tindikali. Katika jengo hili kuna maduka ya mfanyabiashara huyo.
Said ambaye kwa utambulisho mwingine anajulikana kama Said Mohammed Saad, alimwagiwa tindikali Ijumaa iliyopita, saa 2 usiku, lakini habari zake zikavuma Jumamosi, hivyo kuibua taharuki ya aina yake.

No comments :

Post a Comment

FFU WAPINDUKA, MMOJA AFARIKI, WAKIENDA KUTEMBEZA KICHAPO.

No comments
Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wakiwa kazini. (Picha na Maktaba Yetu)
ASKARI mmoja wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) Mkoani Kilimanjaro, Fidelis Mwaliyatabu, amefariki dunia papo hapo na wengine tisa akiwamo Mkuu wa Kikosi hicho kujeruhiwa vibaya baada ya gari lao kupinduka katika kijiji cha Kilingi, wilaya ya Siha, wakati wakienda kuzima vurugu za wananchi.

No comments :

Post a Comment

HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA JUU YA MSANII WA HIPHOP KIMBUNGA "KUMBAKA NA KUMLAWITI" MSANII WA BONGO FLAVA "LINAH"...LINAH NAE AZUNGUMZA

No comments

Kuna Taarifa ambazo zinasema Rapper Kimbuga ame mbaka mwanadada Linah wa THT, na amefikishwa katika kituo cha Polisi cha Ostabey..
Taarifa hizo zimetolewa na Kala Pina kiongozi wa kundi la kikosi cha mizinga kupitia ukurasa wake wa Facebook aliandika hivii "

No comments :

Post a Comment

SOMA BARUA ILIYOANDIKWA NA PAPII KOCHA KWENDA KWA RAIS JAKAYA KIKWETE

No comments

No comments :

Post a Comment

MUIGIZAJI SALMA JABU(NISHA) KUWAFUTARISHA MASHABIKI WAKE KESHO NYUMBANI KWAKE.

No comments

 

Habari za uhakika ni kuwa muigizaji maarufu Swahiliwood Salma Jabu( Nisha) atafutarisha mashabiki wake wakubwa wa kazi zake za filamu kesho jumapili. Chanzo cha kuaminika kilicho karibu na actress huyo kimesema kuwa mashabiki hao watakaofutarishwa na Nisha nyumbani kwake kijitonyama Dar es salaam watatoka katika group yake ya mtandao wa WhatsApp na tayari kila kitu kipo tayari kwa ajili ya tukio hilo muhimu katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani. Licha ya kuwa actress maarufu Nisha pia ni producer wa filamu kupitia kampuni yake ya Nisha's Film Productions na wiki iliyopita filamu yake mpya ya Tikisa iliingia sokoni. Picha za tukio hilo utazipata hapahapa Swahiliworldplanet.

Mungu akuzidishie Nisha


BONGO NEWS 4 NEWS#

No comments :

Post a Comment

Mmiliki wa Home Shopping Centre amwagiwa tindikali usoni.

No comments

Dar es Salaam. 

Mtu asiyejulikana juzi usiku alimvamia mmiliki wa maduka ya Home Shopping Centre, Said Mohammed Saad (pichani) na kumwagia maji usoni yanayodhaniwa kuwa ni tindikali.
 
Tukio hilo lililotokea juzi saa 1 usiku karibu na kituo cha Polisi cha Oysterbay, lilithibitishwa na Kaimu Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Ally Mlege kwa kusema kuwa bado polisi wanaendelea na uchunguzi wao ili kuwabaini waliohusika.
“Ni kweli tukio hili limetokea ila polisi wanaendelea na uchunguzi. Tukikamilisha uchunguzi tunatarajia kutoa taarifa kamili za tukio zima,” alisema na kuongeza;

No comments :

Post a Comment

Total Pageviews

About Us

Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.

Ads 468x60px

Blog Archive

Followers

IN ENTERTAINMENT

ADVERTISE MENT

**ADVERTISE MENT**

**ADVERTISE MENT**

VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )

TOP HEAD LINES