USAJILI WA WACHEZAJI WA LIGI KUU MWISHO AGOSTI 5
Usajili wa wachezaji kwa hatua ya kwanza
msimu huu (2013/2014) sasa utafungwa Jumatatu (Agosti 5 mwaka huu)
badala ya Agosti 3 mwaka huu kama ilivyokuwa imepangwa awali.
Uamuzi
wa kusogeza mbele umetokana kuchelewa kupata disc ya usajili msimu huu
ambayo ndiyo inayotumika kwa usajili wa elektroniki unaofanywa kwa
wachezaji wa klabu za Ligi Kuu ya Vodacom. Disc hiyo ambayo hutolewa na
kampuni ya NAS Technology ya Tunisia tayari imeshawasili.
Kutokana
na mabadiliko hayo, sasa kipindi cha pingamizi kitakuwa kati ya Agosti 6
na 12 mwaka huu wakati Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji itakutana
Agosti 13 na 14 mwaka huu kupitia na kufanyia uamuzi usajili wa
wachezaji wenye matatizo.
Hatua
ya pili ya usajili itaanza tena Agosti 15 mwaka huu ikihusisha
wachezaji ambao watakuwa hawajasajiliwa katika Ligi Kuu ya Vodacom msimu
huu. Timu zitakazoruhusiwa kusajili ni zile ambazo zitakuwa hazijajaza
nafasi zote za usajili. Dirisha dogo za usajili litafunguliwa kuanzia
Novemba 15 mwaka huu hadi Desemba 15 mwaka huu.
Pia
klabu za Ligi Kuu ya Vodacom zinapowasilisha usajili wao zinatakiwa
kuambatanisha nyaraka zinazoonesha viwanja vyao vya mazoezi, nakala za
bima kwa wachezaji pamoja na benchi la ufundi. Masuala hayo yameelezwa
kwenye Kanuni za Ligi Kuu ya Vodacom
BONGO NEWS 4 NEWS#
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Total Pageviews
328445
About Us
Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.
Recent Posts
Ads 468x60px
Blog Archive
Followers
IN ENTERTAINMENT
SERENGETI FIESTA 2013 MKOANI MTWARA NOOOOOMAAAA SAAAANAAAAA
Wakazi wa Mtwara wajitokeza kwa wingi katika Tamasha la Burudani la...SAKATA LA MADAWA YA KULEVYA, DIAMOND APOKONYWA PASSPORT.., MASANJA MKANDAMIZAJI NAYE YUPO
Ni mwendelezo wa Sakata la unga ambalo sasa ni janga kwa taifa letu. Orodha...VIDEO YA YALIO JIRI UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA DIAMOND "NUMBER ONE"
DIAMOND AKI ONGEA NA WAANDISHI WA HABARI Penny Mungilwa - Number 1...
ADVERTISE MENT
**ADVERTISE MENT**

Pages
VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )
STAR VOTE
TOP HEAD LINES
-
Muda au Pesa Nyingi!" Kutongoza ni sanaa ya ushawishi, ambayo lengo lake ni kuanzisha mahusiano ya karibu...
-
PRODYUZA mkali Bongo, Manaiki Sanga amekumbwa na skendo ya aibu kufuatia picha zake ...
-
MUZIKI ni kazi, mataifa mengi, hususan katika mabara ya Ulaya na Amerika Kaskazini, ume...
-
Kujichua au kujichezea(kupiga puri au punyeto) sio kwa wanaume tu bali hata wanawake wanafanya hivyo ila wengi wao huwa hawako hur...
-
Usajili wa wachezaji kwa hatua ya kwanza msimu huu (2013/2014) sasa utafungwa Jumatatu (Agosti 5 mwaka huu) badala ya Agosti 3 mwa...
No comments :
Post a Comment