Recent Posts

coments

HOT HEAD LINES

NEWS+HABARI-ZAIDI

ALL HERE DONE BY |

ALL HERE DONE BY |

**ADVERTISEMENT**

**ADVERTISE**

**ADVERTISE**

HAPPY BIRTH DAY

HAPPY BIRTH DAY
Powered by Blogger.

TANGAZO KWA ABIRIA WA AZAM MARINE & COASTAL FAST FERRIES.

No comments

Kutokana na Kuanza kwa mwezi mtukufu wa Ramadhan, Azam Marine & Kilimanjaro Fast Ferries Imeamua kuongeza safari kwenye ratiba yake.. Kwa mwezi mzima safari zitakua mida ifuatayo:

DAR kwenda Zanzibar:

0700 HRS (Moja asubuhi)
0930 HRS (Tatu na nusu asubuhi)
1230 HRS (Sita na nusu mchana)
1400 HRS (Nane mchana)
1545 HRS (Tumi kasorobo jioni)

Zanzibar kwenda DAR: 

0700 HRS (Moja asubuhi)
0930 HRS (Tatu na nusu asubuhi)
1100 HRS (Saa tano asubuhi)
1230 HRS (Sita na nusu mchana)
1545 HRS (Kumi kasorobo jioni)

Tunapangilia na Safari za kwenda Pemba na tutatangaza ratiba hivi karibuni.. 

Pamoja na hayo kwa Kuona Umuhimu Wa Mwezi Mtukufu, Azam Marine Imetenga nafasi kwenye eneo la offisi kufanya sehemu ya kusalia abiria.. Hii huduma inapatikana upande wa DAR pamoja na Zanzibar.. 

Ramadhan Kareem!!

Asanteni woote!!
BONGO NEWS 4 NEWS#

No comments :

Post a Comment

TAZAMA GARI KUMI ZA KIFAHARI ZA WASANII HAWA 10

No comments


KANYE WEST
 This $750,000 Lamborghini Aventador was recently scratched up, as he tried to get into Kim Kardashian’s property; it was squeezed by the electric gates as he drove through.
LUDACRIS
 The $300,000 Ferrari FF is a hatchback, and a very fast one. It’s capable of going from 0 to 60 mph in 3.5 seconds.

No comments :

Post a Comment

TOP 10 LEADING TECHNOLOGY COMPANIES 2013

No comments




The leading companies in 2013 dealing with the production of technology commodities and providing technological services;



#10 Facebook



Brand Value In 2012: $21,261 million
Brand Value In 2013: $33,233 million
Percentage Brand Value Change: -36 percent



Facebook is the world’s largest social network, with more than a billion users. Mark Zuckerberg founded Facebook in 2004 while he was attending Harvard University. The company opened up for an IPO in 2012 and had a valuation of about $100 billion, becoming one of the largest tech companies in tech history.







 

#9 Samsung





 Brand Value In 2012: $21,404 million
Brand Value In 2013: $14,164 million
Percentage Brand Value Change: 51 percent



Samsung Electronics is a South Korean multinational electronics company. It is the flagship subsidiary of the Samsung Group and has been the world's largest information technology company by revenues since 2009. It has gained prominent position in the mobile phone market - fuelled by its flagship Samsung Galaxy line of devices.



Samsung has been the world's largest maker of LCD panels since 2002, the world's largest television manufacturer since 2006, and world's largest manufacturer of mobile phones since 2011. Samsung Electronics displaced Apple as the world largest technology company in 2011 and now its Smartphones are largest selling phones in the world.

No comments :

Post a Comment

Serikali yapata gawio la Sh bilioni 1

No comments
KAMPUNI ya Kuhifadhi Mafuta nchini (TIPER) imekabidhi hundi ya Sh bilioni 1 kwa Serikali, ikiwa ni sehemu ya gawio la Serikali katika faida iliyotengenezwa hadi kufikia Desemba 31, mwaka jana. Kampuni hiyo inamilikiwa kwa ubia baina ya Serikali na Kampuni ya Uswisi ya Oryx (OOG), kila moja ikiwa na hisa 50, imekuwa ikilipa gawio kama hilo tangu mwaka 2009 baada ya uwekezaji wa Sh bilioni 8.3 ambao uliwezesha kufanya kazi kwa faida.

No comments :

Post a Comment

WEMA AKIMBILIA ZANZIBAR KUJIFICHA BAADA YA KUMJERUHI MENEJA WA HOTELI, POLISI WAVAMIA NYUMBANI KWAKE NA KUFANYA UPEKUZI MKALI

No comments

POLISI wapatao sita Jumamosi iliyopita walivamia nyumbani kwa staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu maeneo ya Kijitonyama kwa lengo la kumkamata kufuatia kesi iliyofunguliwa katika Kituo cha Polisi Kawe jijini Dar.

No comments :

Post a Comment

WEMA ATIBUANA NA MENEJA WAKE MARTIN KADINDA

No comments

KIMENUKA! Beautiful Onyinye au ‘Madam’ Wema Isaac Sepetu anadaiwa kutibuana na yule meneja wake, mwanamitindo Martin Kadinda kwa kurushiana maneno mtandaoni, Amani limesheheni.

No comments :

Post a Comment

DIAMOND AANIKA KILICHOMFANYA AONJE 'URODA' KWA IRENE UWOYA...!!

No comments

SIRI nje! Lile skendo la Rais wa Wasafi Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, kudaiwa kulala na mwigizaji Irene Uwoya ambaye ni mke wa ndoa wa mwanasoka wa Rwanda, Hamad Ndikumana ‘Kataut’ limevuja.
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
KISA KAMILI
Huku akijua kabisa kuwa ataibua zogo kwa kuwa Uwoya ni mke wa ndoa wa mtu, kwa mara ya kwanza, Diamond ameamua kuanika kisa kilichomfanya kujiweka kwa muda kwa Uwoya.
Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika cha gazeti hili, kilichomfanya Diamond kufikia hatua ya kumtongoza na kutoka naye kimapenzi, ni kitendo cha Uwoya kutoa  maneno ya kumponda huku akionesha waziwazi hali ya kumchukia kila walipokutana.

No comments :

Post a Comment

HII NDIO NGOMA MPYA YA NISHER ZAWADI KWA MA FANS WAKE SIKU YA BIRTH DAY YAKE "PAPER"

No comments

ISIKILIZE HAPA

No comments :

Post a Comment

Obama ateua msaidizi wake balozi Tanzania

No comments



Rais wa Marekani, Barack Obama (kushoto) akizungumza na washauri wake waandamizi akiwemo Mark Childress (kulia) ambaye amemteua kuwa balozi mpya wa nchi hiyo hapa nchini. Picha na Ikulu ya Marekani 

  • Obama amefanya uteuzi huo ikiwa ni wiki moja tangu alipohitimisha ziara yake katika nchi tatu za Bara la Afrika, Tanzania ikiwa mojawapo. Pia alizitembelea Senegal na Afrika KusinWashington. Rais wa Marekani Barrack Obama amemteua msaidizi wake wa karibu, Mark Childress kuwa balozi wa nchi hiyo, hapa nchini.

No comments :

Post a Comment

BAADA YA HABARI KUSAMBAA KUWA AGNESS GERALD NS MELISA EDWARD WAME KAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA SOUTH.AGNESS AELEZA.

No comments


Baada ya habari za kukamatwa kwa mtanzania Agness Gerald na Melisa Edward, wakiwa na madawa ya kulevya yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 6 kuenea na kuthibitishwa na kamanda wa polisi kitengo cha kuzuia na kupambana na madawa ya kulevya "Godfrey Nzowa". Agness Jerald ambae wengi wanahisi ni  Aggy Masogange ambae pia yuko nchini South Africa mpaka dakika hii, (ambapo haijajulikana kama ni yeye kweli) ameonekana akiendelea kuandika kupitia mtandao wa instagram licha ya kutangazwa kwa habari hizo.
masaa matatu yaliyopita Aggy alipost picha hii hapo chini na kuandika maneno haya

No comments :

Post a Comment

RAMADHANI KAREEM YA ANZA KWA WAISLAM WOTE DUNIANI LEO.

No comments




 Waislamu wote duniani hii leo wame ungana na wenzao kuu anza moja ya nguzo kuu zadini hiyo ambayo niku funga mwezi mtukufu wa ramadhani.Katika iada hiyo wa islamu wana husiwa kuwa wakarimu na wenye ku nyenyekea kwa mwenyezimungu pia kuzidisha ibada na hata kusaidia masikini na wasio jiweza.

TUNA WA TAKIA RAMADAN KAREEM

No comments :

Post a Comment

AGNESS MASOGANGE AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA AFRIKA KUSINI.STORI NZIMA HII HAPA

No comments

 

AGNESS MASOGANGE

 HABARI ZAIDI HAPA

No comments :

Post a Comment

WIZZ KHALIF AFUNGA NDOA NA AMMBER ROSE

No comments
Msanii wa muziki wa nchini Marekani Wizz khalif ame funga ndoa na Mwana mitindo Amber Rosse.Matukio katika picha.



No comments :

Post a Comment

WAHUU NAE AANZISHA BLOG YAKU SHARE MAMBO MAZURI NA WATOTO.

No comments

Msanii wa muziki kutokea kenya amabae ni mke wa Nameles ambae nae pia ni msanii wa muziki nchini humo ame anzisha blog yake ya babylovenetwork.com.Kupitia Blog hiyoatakua aki share masuala mbali mbali kuhusu uzazi ujauzito na ulezi wawa toto.

No comments :

Post a Comment

AZAM KUJA NA KING'AMUZI CHAKE MALIPO KWA MWEZI N TSH 2000

No comments

KING'AMUZI KUTOKA AZAM.
Kampuni kubwa ya uzalishaji wa vyakula ya Azam ime anzi sha king'amuzi chake ambacho kwa mwezi kita kua kiki lipiwa shilingi elfu mbili.King'a muzi hicho ambacho kwa sasa kipo maja ribioni kiki kamilika kitakua kiki uzwa kwa shilingi 30,000/= tu.

No comments :

Post a Comment

ROSE NDAUKA NDANI YA BREZZ FM YA MJINI TANGA

No comments
Msanii nyota wa filamu Tanzania Rose ndauka leo tarehee 7/7/ alikua ndani ya brezz fm ilioko jijini tanga.Msanii huyo alifanya mahojiano na mtangazaji wa kipindi cha the super star's show kinacho ruka saa saba mchana kiki ongozwa na mtangazaji Dj Chopazon
ROSE NDAUKA

No comments :

Post a Comment

Total Pageviews

About Us

Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.

Ads 468x60px

Blog Archive

Followers

IN ENTERTAINMENT

ADVERTISE MENT

**ADVERTISE MENT**

**ADVERTISE MENT**

VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )

TOP HEAD LINES