Recent Posts

coments

HOT HEAD LINES

NEWS+HABARI-ZAIDI

Archive

ALL HERE DONE BY |

ALL HERE DONE BY |

**ADVERTISEMENT**

**ADVERTISE**

**ADVERTISE**

HAPPY BIRTH DAY

HAPPY BIRTH DAY
Powered by Blogger.

WAKAZI WA KIGOMA WALIPOKEA KWA KISHINDO TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013.

No comments


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEisehlG4kwL0UHtVGnVnL-rloXWPgNe0ONkPLX_ASMgxbVZWitvJ2nwvxJZzDIGw-UKq-ovRp026hNo0f9nHuv7FEQfJ-_rOIeh9o6SHGVYaqjaNeua0OsCb9rTPE9yI4qFtknii1ZkXjf6/s640/1.jpg
 Msanii wa muziki wa kizazi kipya,Neylee akiimba kwa hisia kwenye jukwaa la tamasha la Serengeti Fiesta 2013,kwenu uwanja wa Lake Tanganyika.

No comments :

Post a Comment

PHOTOS: Picha za “utata” za prodyuza Manaiki Sanga na wasanii wa kike zavuja

No comments

PRODYUZA mkali Bongo, Manaiki Sanga amekumbwa na skendo ya aibu kufuatia picha zake chafu akiwa na wasichana wanaodaiwa ni wasanii wa filamu kusambaa mitandaoni huku wachangiaji wakisema ni udhalilishaji uliopitiliza, Risasi Jumamosi limezinasa.

No comments :

Post a Comment

Ponda azusha mapya - Waitisha mkutano wa dharura kesho.

No comments



Masheikh waitahadharisha Serikali
*Polisi waweka doria misikitini Dar
SAKATA la Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, limeendelea kuwa gumzo katika maeneo mbalimbali, huku matamko makali yakitolewa dhidi ya Serikali.

No comments :

Post a Comment

Nadir Canavarro na bahati yake Yanga

No comments


Nahodha mpya wa Yanga Africa Nadir Haroub Ally Canavarro ameanza kukitumikia cheo chake cha unahodha na bahati ya kunyanyua taji lake la kwanza.

No comments :

Post a Comment

UKWELI KUHUSU WANA WAKE WENYE MWANYA AU KIDOTI

No comments

No comments :

Post a Comment

Star Mwingine Mkubwa Ajitangaza Kuwa Ni Shoga, Ni Mpiganaji Mieleka Maarufu [WWE]

No comments

Hii ni habari nyingine ya kuwaacha watu midomo wazi, na hii ni kufuatia hatua ya Nyota Mieleka kutoka WWE, Darren Young kuweka wazi kuwa yeye ni shoga.

No comments :

Post a Comment

SOMA MAGAZETI YA LEO IJUMAA 16/8

No comments







No comments :

Post a Comment

Lulu kama Diamond Platnumz, kuzindua Foolish Age mlimani City, soma hapa.

No comments



Hatimaye mwanadada Elizabeth Michael (Lulu) yupo teyari kuachia filamu yake ya kwanza toka atoke jela, filamu aliyoipa jina la Foolish age inayotarajiwa kuzinduliwa rasmi tarehe 30 mwezi huu.

No comments :

Post a Comment

FILAMU YA WITCH DOCTOR YAKIMBIZA SOKONI

No comments
witch doctor
Filamu ya witch doctor kutoka Swahilihood.
FILAMU ya Witchdoctor imeingia sokoni na kufanya vizuri filamu hiyo imetayarishwa na mwanadada mahiri katika utayarishaji wa filamu Bongo Jenefer

No comments :

Post a Comment

HATA HAO VIONGOZI UTUTOLEA MACHO YA KUTUTAKA- BATULI

No comments

Yobnesh Yusuf

Batuli mwigizaji wa filamu Swahilihood.
MWIGIZAJI Mkongwe katika tasnia ya filamu Swahiliwood Yobnesh Yusuf ‘ Batuli’ ameweka wazi jinsi tasnia ya filamu ilivyo na changamoto nyingi na kujikuta waliomo humo wanakabiriwa na mitihani mingi hata kwa wale ambao wangekuwa msaada kwa kuwasaidia na kusonga mbele kisanaa badala yake uwatolea macho kwa kuwatamani.
.

No comments :

Post a Comment

HATIMAYE UCHAGUZI WA KAMATI YA UTENDAJI YA TFF KUFANYIKA OKTOBA 18 - FOMU KUANZA KUTOLEWA IJUMAA HII

No comments


Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imetoa tangazo la uchaguzi wa Kamati ya mpya ya Utendaji ambao utafanyika Oktoba 20 mwaka huu. Pia Kamati hiyo imetoa tangazo za uchaguzi wa Bodi ya Ligi Kuu ya Tanzania (TPL Board) ambao utafanyika Oktoba 18 mwaka huu.

No comments :

Post a Comment

HAYA NDO MAMBO YA KUZINGATIA KWA MWANAMKE, PALE UNAPOAMUA KUVAA SHATI LA KITENGE

No comments
solange kitenge shirt
Kitenge ni miongoni mwa mavazi ya Kiafrika yenye heshima ya kipekee. Tofauti na aina nyingine za vitambaa, kitenge kina sifa ya kuvaliwa na watu tofauti tofauti na kuleta maana kwenye mitindo.
Katika kuonyesha thamani yake, wabunifu wa mitindo wameenda mbele zaidi na kubuni hadi mapambo ya kitenge. Leo hii si jambo la ajabu kuona makembe, mikoba na hata viatu vya kitenge.
Kwa miongo kadhaa sasa imeshuhudiwa kitenge kikivaliwa katika mitindo kadha wa kadha. Kwa mfano magauni, makoti, blauzi na hata sketi
.

No comments :

Post a Comment

PHOTOS: CHEKI PICHA ZA UTENGENEZAJI WA VIDEO YA AY,FA NA JMARTINS "CHEZA BILA KUKUNJA GOTI"

No comments

aymwanajmartins

No comments :

Post a Comment

DOWNLOAD: CHIDI BENZ-NAKAZA ROO. NEW SONG BAADA YA KIMYA KIREFU.

No comments
 
  Baada ya kimya kirefu msanii tokea pande zaaa.. Ilala ame amua kurudi tena katika gem hivi sasa nikitu kipya sikiliza na u download ngoma ama song lake liki enda kwa jina la "NAKAZA ROO".

No comments :

Post a Comment

PICHA:TIZAMA FEZA KESI ALIVYO POKELEWA ALIPO REJEA KUTOKEA BBA.

No comments


Mwakilishi wa Tanzania katika jumba la Big Brother 'The Chase' aliyetolewa Jumapili Agosti 11 Feza Kessy amewasili leo jioni Tanzania katika uwanja wa kimataifa wa Mwl J.K Nyerere jijini Dar es Salaam.

No comments :

Post a Comment

LMFAO: Aina tano za vitambi kwa mujibu wa Masanja Mkandamizaji

No comments

Msanii na mtangazaji wa kipindi cha vichekesho "Orijino Komedi" Masanja Mkandamizaji, leo hii ameamua kuchekesha wana twitter kwa kutoa aina 5 za vitambi anavyovijua na kuvitolea maelezo ya jinsi vinavyokuwa kwa muonekano wake.

No comments :

Post a Comment

Chidi Benzi akiri kutumia madawa ya kulevya kwa muda mrefu na sasa ameamua kuachana nayo baada ya kupata matibabu nchini Kenya na sasa ameachia pini jipya

No comments

 Jana kupitia kipindi cha xxl cha clouds fm B12 na fety walikua waki hojiana na Chidi Benz naku kiri kutumia madawa ya kulevya soma hapa kujua zaidi.

No comments :

Post a Comment

DOWNLOAD:KASIMU MGANGA LOVE

No comments


BONGO NEWS 4 NEWS#

No comments :

Post a Comment

MWANAFUNZI ATEKWA HUKO MOSHI NA KUFANYISHWA NGONO KWA SIKU NNE

No comments
mwanafunzi

MWANAFUNZI wa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Marangu inayomilikiwa na kanisa Katoliki jimbo la Moshi, (jina limehifadhiwa) alitekwa na kukufungiwa kwenye hoteli moja ya kitalii mjini hapa na kufanyiwa vitendo vya ngono kwa muda wa siku nne mfululizo.
Mwanafunzi huyo anadaiwa kutekwa Agosti 6 mwaka huu na kijana mmoja (jina linahifadhiwa) mfanyakazi wa kampuni ya simu za mikononi (Airtel) mjini Dodoma.

No comments :

Post a Comment

TAZAMA PICHA : FEZA NA ONEAL BAADA YA KUTOKA NDANI YA MJENGO WA BIG BROTHER

No comments

Feza na Oneal baada ya kutoka 
mjengoni jumapili

BONGO NEWS 4 NEWS#

 

No comments :

Post a Comment

CHEKI KITAMBO HICHO DIAMOND NA ROMY J NA SASA WALIVYO.

No comments


Romy j na Diamond enzi hizoo

No comments :

Post a Comment

Total Pageviews

About Us

Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.

Ads 468x60px

Blog Archive

Followers

IN ENTERTAINMENT

ADVERTISE MENT

**ADVERTISE MENT**

**ADVERTISE MENT**

VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )

TOP HEAD LINES