Recent Posts

coments

HOT HEAD LINES

NEWS+HABARI-ZAIDI

ALL HERE DONE BY |

ALL HERE DONE BY |

**ADVERTISEMENT**

**ADVERTISE**

**ADVERTISE**

HAPPY BIRTH DAY

HAPPY BIRTH DAY
Powered by Blogger.

BAADA YA HABARI KUSAMBAA KUWA AGNESS GERALD NS MELISA EDWARD WAME KAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA SOUTH.AGNESS AELEZA.

No comments


Baada ya habari za kukamatwa kwa mtanzania Agness Gerald na Melisa Edward, wakiwa na madawa ya kulevya yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 6 kuenea na kuthibitishwa na kamanda wa polisi kitengo cha kuzuia na kupambana na madawa ya kulevya "Godfrey Nzowa". Agness Jerald ambae wengi wanahisi ni  Aggy Masogange ambae pia yuko nchini South Africa mpaka dakika hii, (ambapo haijajulikana kama ni yeye kweli) ameonekana akiendelea kuandika kupitia mtandao wa instagram licha ya kutangazwa kwa habari hizo.
masaa matatu yaliyopita Aggy alipost picha hii hapo chini na kuandika maneno haya


 na baadae kupost pichaa hii yenye caption hiyo hapo chini




jessolomon@renatusleonard naomba nijuze kunani??

tarinawhtIn my prayers doll,fanya yko darling let them talk❤@aggnesfineassgirl

carlozvellaWataongea sana ila yako yanafika utakapoooo

aggnesfineassgirlHahahah si umeitwaa unagoma bby @mattynemo

aggnesfineassgirl@wemalicious hahahaha bby usiniuee uwiiiiii

carlozvellaAchana nao RESPECT KWAKO @aggnesfineassgirl

aggnesfineassgirl@chaggabarbie ��������

albertmgangajrAkili za wabongo bhana,achen unafiki jaman!!!wait n see

asmakarimPole no kweli umekatwa dear

hasnajalangoMh muulize wewe maana kang'ang'ana keshasema keshasema......amesea wapi nini ama udaku 2...@jessolomon

msafirijoab123Daaaaaaa wambea wanyamaze kabsa@aggnesfineassgirl

shinda2013Everybody can update the pics..

mattynemoNakuja soon... ngoja too mizigo iishe dar panachosha...@aggnesfineassgirl

minashabaniMumy nimekuwazia mengi nakukusikitikia sana@aggnesfineassgirl mwenyezi mungu akusaidi kama nikweli upo pouwa na afute hizi husda za midomo yawatu waliyo kuchuria mumy wangu

mariyumiisaidOhghogh***

leahna1112Pole sana mumyto kwanini wanakusingizia hivyo? Pls ukirudi wafungulie kesi haiwezekani wakuchafulie Jina kiasi hichi

achunbaaSasa hawa watu wanazusha maneno ya kisenge manake nn lkn

wolpergambenipgie ma bby plz @aggnesfineassgirl

mpolesam@wolpergambe akupigii ngoo sababu sio yeye na ukimwambia ukweli anakublock ni mumewe anawazuga watu wanyamaze

nishabebee88Tunasemaga BUH BUH BUH likimpata mtuu timua vumbiiiiiii BUHHHHHHHHHHHH .. love u bby boo


biancaselishaYaani nasema wakukome My bebe

aggnesfineassgirlAs usual we present home city @linahbaby

salmakbarbinadamu haswa watz tumezoea kuona wenzetu wasiendelee wakuache mumy wng @aggnesfineassgirl , miss kisses

dadizgalJmn baby am glad ur back missed u booboo@aggnesfineassgirl

dminajmamy nlikumic nmeskia nkajua kwel wacha inpain

cutebeathaDaah pipo r bad.....mmxwhiii.....lov u kipenz

ladyhossyDuh pole kwa kuzushiwa

sandytemumungu mkubwa jamani.dah..nicheki pliz@aggnesfineassgirl

zhussein777hata ingekuwa kweli its non pipoz bussnes .... unatafuta zako huwa tafutii wao kula zako maisha @aggnesfineassgirl

latty3941Na mi nahc

aggnesfineassgirl@nishabebee88 lov u moo bby akeee

aggnesfineassgirl@nassorosalma ����������

aggnesfineassgirl@sandytemu nimewipe fone chek m on insta nkupe no yg ya huku

aggnesfineassgirlMis u moo bby bby @dadizgal

tarinawhtAm hapi������,watasonyajeeeeee!!do ur thing hun achana na wazushi Kama nawaona hii hii ���� dats y I lov u@aggnesfineassgirl

mamyluqMimi midomo yangu bado iko wazi uku kungekuwa na nzi ningemeza nzi nilivyoshaangaa wabongo tumefikia apa mtu anaropoka tu duuu pole mdada ila du

msafirijoab123Wanafiki walie2

levimkush@aggnesfineassgirl y pipo wanakusaka hvo mamii! Temana nao. Lov ya muuuuuuuch!
hiki ndicho kilichoripotiwa na kituo cha television ya SABC



No comments :

Post a Comment

Total Pageviews

About Us

Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.

Ads 468x60px

Blog Archive

Followers

IN ENTERTAINMENT

ADVERTISE MENT

**ADVERTISE MENT**

**ADVERTISE MENT**

VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )

TOP HEAD LINES