CHEKI MAPOKEZI YA POKELLON ALIPO REJEA NCHINI KWAO..
Mapokezi yakiongozwa na fans wake (team Pokello),familia na aliyekuwa
mshiriki mwenzake kutoka Zimbamwe Hakeem Mandaza, Pokello alishindwa
kuzuia machozi kwa sapoti walioonesha uwanjani hapo. Pia mtoto wake
Gerald (10) alikuwa mmoja wa waliojitokeza ku show love. Baadae
alielekea hotelini na gari nyeupe ya kifahari,cheki picha chini
zikionyesha mapokezi hayo.
CREDIT: MAMAFRIKA
|
Pokello akiwa Harare international airport |
|
Umati uliojitokeza |
|
Team Pokello |
|
Pokello na mtoto wake Gerald |
|
Pokello fan |
|
Pokello akielekea hotelini |
BONGO NEWS 4 NEWS#
TOP HEAD LINES
-
Muda au Pesa Nyingi!" Kutongoza ni sanaa ya ushawishi, ambayo lengo lake ni kuanzisha mahusiano ya karibu...
-
-
Kujichua au kujichezea(kupiga puri au punyeto) sio kwa wanaume tu bali hata wanawake wanafanya hivyo ila wengi wao huwa hawako hur...
-
Usajili wa wachezaji kwa hatua ya kwanza msimu huu (2013/2014) sasa utafungwa Jumatatu (Agosti 5 mwaka huu) badala ya Agosti 3 mwa...
-
-
A still from the video in which Yemeni girl Nada Al-Ahdal pleaded with parents not to arrange marriages for their young children, b...
-
-
Kundi la kwanza la wasanii watakaotumbuiza katika tamasha la Kilimanjaro Music Tour 2013 limewasili mkoani Kigoma kwa ajil...
-
Mafundi wakiendelea na ujenzi wa Makao Makuu ya Kituo kipya cha Televisheni cha Aam TV, eneo la Tazara, Dar es Salaam. Kituo hicho kim...
-
Klabu ya Arsenal io mbioni kukamisha usajili wa kiungo wa Real Madrid Mesut Ozil katika siku ya mwisho ya usajili barani ulaya. ...
No comments :
Post a Comment