CHEKI MAPOKEZI YA POKELLON ALIPO REJEA NCHINI KWAO..
Mapokezi yakiongozwa na fans wake (team Pokello),familia na aliyekuwa
mshiriki mwenzake kutoka Zimbamwe Hakeem Mandaza, Pokello alishindwa
kuzuia machozi kwa sapoti walioonesha uwanjani hapo. Pia mtoto wake
Gerald (10) alikuwa mmoja wa waliojitokeza ku show love. Baadae
alielekea hotelini na gari nyeupe ya kifahari,cheki picha chini
zikionyesha mapokezi hayo.
CREDIT: MAMAFRIKA
 |
| Pokello akiwa Harare international airport |
 |
| Umati uliojitokeza |
 |
| Team Pokello |
 |
| Pokello na mtoto wake Gerald |
 |
| Pokello fan |
 |
| Pokello akielekea hotelini |
BONGO NEWS 4 NEWS#
TOP HEAD LINES
-
Muda au Pesa Nyingi!" Kutongoza ni sanaa ya ushawishi, ambayo lengo lake ni kuanzisha mahusiano ya karibu...
-
-
PRODYUZA mkali Bongo, Manaiki Sanga amekumbwa na skendo ya aibu kufuatia picha zake ...
-
MUZIKI ni kazi, mataifa mengi, hususan katika mabara ya Ulaya na Amerika Kaskazini, ume...
-
Millard Afrael Ayo alizaliwa Arusha January 26 akiwa ni mtoto wa kwanza kwenye famili ya watoto wanne ya Afrael Ayo ambae ni mme...
-
Tanzanian Housemate Feza has become the 20th Housemate to be booted out of The Chase
-
-
-
-
No comments :
Post a Comment