KILI MUSIC TOUR 2013 YAVUNJA REKODI YA MAHUDHURIO KATIKA UWANJA WA LAKE TANGANYIKA MKOANI KIGOMA! CHEKI PICHA 30 HIZI HAPA
Ziara ya wanamuziki waliofanya vizuri mwaka 2012 maarufu kama
Kilimanjaro Music Tour 2013 iliyopewa kaulimbiu ya Kikwetu kwetu
imefanyika mkoani Kigoma na kuvunja rekodi ya mahudhurio katika uwanja
wa Lake Tanganyika baada ya maelfu ya
wakazi wa mji wa Kigoma na maeneo
ya jirani kufurika kwa wingi kuwashuhudia wasanii wakali 12 waliopanda
jukwaani. Kivutio kikubwa katika tamasha hilo ilikuwa ni wanamuziki
wanne wanaounda kundi la Kigoma All Stars, Diamond, Mwasiti, Linex na
Recho kupanda mwishoni na kuimba wimbo wao maarufu wa Leka Dutigite na
kupata shangwe kubwa toka kwa mashabiki. Hizi ni baadhi ya picha za
matukio yaliyotokea.
Diamond Platnumz akifanya kufuru jukwaani... Hapo ametengeneza umbo la ndege...
Profesa Jay wa mitulinga..
Yahaya unaishi wapi?... yahayaeeeeee..... Lady Jay Dee akikamua.
DJ Akishusha mkong'oto!
Linex akiwanyanyua mashabiki kwa mistari yake yenye hisia kali...
Roma mkatoliki kushoto, Mkurugenzi wa Kili music tour katikati na Mwasiti kulia wakionyesha batasam! A! tabasam la nguvu...
Fid Q Akiporomosha mistari ya kufa mtu..
Warembo pia walikwepo...
DJ Wa kilimanjaro music tour akiwarusha watu wa kigoma.
Mashabiki wakionyesha ishara ya kumpokea Izzo vizuri...
Izzo Akifanya yake
Ben Paul Jukwani
Izzo busnnes akiwa backsage na kinywaji vuguvugu..
Mwasiti huyo
Mwasiti akifanya makeke jukwaani..
Barnaba boy akikamua..
Recho akifanya yake
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Total Pageviews
328776
About Us
Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.
Recent Posts
Ads 468x60px
Blog Archive
Followers
IN ENTERTAINMENT
SERENGETI FIESTA 2013 MKOANI MTWARA NOOOOOMAAAA SAAAANAAAAA
Wakazi wa Mtwara wajitokeza kwa wingi katika Tamasha la Burudani la...SAKATA LA MADAWA YA KULEVYA, DIAMOND APOKONYWA PASSPORT.., MASANJA MKANDAMIZAJI NAYE YUPO
Ni mwendelezo wa Sakata la unga ambalo sasa ni janga kwa taifa letu. Orodha...VIDEO YA YALIO JIRI UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA DIAMOND "NUMBER ONE"
DIAMOND AKI ONGEA NA WAANDISHI WA HABARI Penny Mungilwa - Number 1...
ADVERTISE MENT
**ADVERTISE MENT**

Pages
VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )
STAR VOTE
TOP HEAD LINES
-
Muda au Pesa Nyingi!" Kutongoza ni sanaa ya ushawishi, ambayo lengo lake ni kuanzisha mahusiano ya karibu...
-
PRODYUZA mkali Bongo, Manaiki Sanga amekumbwa na skendo ya aibu kufuatia picha zake ...
-
MUZIKI ni kazi, mataifa mengi, hususan katika mabara ya Ulaya na Amerika Kaskazini, ume...
-
Kujichua au kujichezea(kupiga puri au punyeto) sio kwa wanaume tu bali hata wanawake wanafanya hivyo ila wengi wao huwa hawako hur...
No comments :
Post a Comment