ALIYE FANYA MAPENZI NA NANDO ( SELY) AMUOMBA MSAMAHA MPENZI WAKE
Hatimaye mshiriki wa Ghana katika reality show ya Big Brother ‘The
Chase’ Selorm Galley maarufu kama Selly aliyetoka wiki moja iliyopita,
amemuomba msamaha boy friend wake (wa Ghana) kwa yale aliyoyafanya
mbele ya Camera za nyumba ya Big Brother.
Kupitia kipindi cha live ‘Celebrity Show’ cha ETV ya Ghana Selly ambaye pia ni muigizaji alianza kwa kumshukuru mpenzi wake Praye Tietia, na kutokana na kwamba kuna uwezekano yaliyomkwaza mpenzi wake ni mengi, Selly alimuomba msamaha kwa yale yote yaliyojiri mjengoni (ikiwemo kufanya mapenzi na Nando) alipokuwa anaiwakilisha nchi yake kuzifukuzia $300,000.
Selly mwenye miak 25 alisema “I am very thankful for the opportunity given me. I want to thank my boyfriend, Praye Tietia and also use this opportunity to say I am very sorry (for all that happened)”, na akasisitiza “I am very sorry”.
Selly amekuwa akiandamwa na maneno mengi toka camera za Big Brother zimnase akifanya mapenzi na aliyekuwa mwandani wake katika The chase Nando, kitendo kilichowaudhi zaidi mashabiki wa nchini kwake Ghana ambao wamekuwa wakimuandama kupitia mitandao ya kijamii.
Kupitia kipindi cha live ‘Celebrity Show’ cha ETV ya Ghana Selly ambaye pia ni muigizaji alianza kwa kumshukuru mpenzi wake Praye Tietia, na kutokana na kwamba kuna uwezekano yaliyomkwaza mpenzi wake ni mengi, Selly alimuomba msamaha kwa yale yote yaliyojiri mjengoni (ikiwemo kufanya mapenzi na Nando) alipokuwa anaiwakilisha nchi yake kuzifukuzia $300,000.
Selly mwenye miak 25 alisema “I am very thankful for the opportunity given me. I want to thank my boyfriend, Praye Tietia and also use this opportunity to say I am very sorry (for all that happened)”, na akasisitiza “I am very sorry”.
Selly amekuwa akiandamwa na maneno mengi toka camera za Big Brother zimnase akifanya mapenzi na aliyekuwa mwandani wake katika The chase Nando, kitendo kilichowaudhi zaidi mashabiki wa nchini kwake Ghana ambao wamekuwa wakimuandama kupitia mitandao ya kijamii.
BONGO NEWS 4 NEWS#
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Total Pageviews
328776
About Us
Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.
Recent Posts
Ads 468x60px
Blog Archive
Followers
IN ENTERTAINMENT
SERENGETI FIESTA 2013 MKOANI MTWARA NOOOOOMAAAA SAAAANAAAAA
Wakazi wa Mtwara wajitokeza kwa wingi katika Tamasha la Burudani la...SAKATA LA MADAWA YA KULEVYA, DIAMOND APOKONYWA PASSPORT.., MASANJA MKANDAMIZAJI NAYE YUPO
Ni mwendelezo wa Sakata la unga ambalo sasa ni janga kwa taifa letu. Orodha...VIDEO YA YALIO JIRI UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA DIAMOND "NUMBER ONE"
DIAMOND AKI ONGEA NA WAANDISHI WA HABARI Penny Mungilwa - Number 1...
ADVERTISE MENT
**ADVERTISE MENT**

Pages
VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )
STAR VOTE
TOP HEAD LINES
-
Muda au Pesa Nyingi!" Kutongoza ni sanaa ya ushawishi, ambayo lengo lake ni kuanzisha mahusiano ya karibu...
-
PRODYUZA mkali Bongo, Manaiki Sanga amekumbwa na skendo ya aibu kufuatia picha zake ...
-
MUZIKI ni kazi, mataifa mengi, hususan katika mabara ya Ulaya na Amerika Kaskazini, ume...
-
Kujichua au kujichezea(kupiga puri au punyeto) sio kwa wanaume tu bali hata wanawake wanafanya hivyo ila wengi wao huwa hawako hur...
-
Usajili wa wachezaji kwa hatua ya kwanza msimu huu (2013/2014) sasa utafungwa Jumatatu (Agosti 5 mwaka huu) badala ya Agosti 3 mwa...
No comments :
Post a Comment