Recent Posts

coments

HOT HEAD LINES

NEWS+HABARI-ZAIDI

Archive

ALL HERE DONE BY |

ALL HERE DONE BY |

**ADVERTISEMENT**

**ADVERTISE**

**ADVERTISE**

HAPPY BIRTH DAY

HAPPY BIRTH DAY
Powered by Blogger.

RAY C AKERWA NA UMBO LAKE LILIVYO BONGE

No comments



Msanii wa Bongo Fleva aliyekiri kutumia madawa ya kulevya na kuacha,Rehema Chalamila‘Ray C’ ameonyesha kukerwa na umbo lake la sasa baada ya kunenepa kupita kiasi hali iliyomfanya aombe msaada ili aweze kupungua.


Ray C ameomba msaada huo kwa msanii wa Bongo Muvi Salma Jabu ‘Nisha’kupitia mtandao wa instagram na kumwambia kuwa anaomba ampatie diet yake ili na yeye apungue ambapo msanii huyo alimwambia kuwa apunguze kula na afanye mazoezi.
‘Mie…
Msanii wa Bongo Fleva aliyekiri kutumia madawa ya kulevya na kuacha,Rehema Chalamila‘Ray C’ ameonyesha kukerwa na umbo lake la sasa baada ya kunenepa kupita kiasi hali iliyomfanya aombe msaada ili aweze kupungua.
Ray C ameomba msaada huo kwa msanii wa Bongo Muvi Salma Jabu ‘Nisha’kupitia mtandao wa instagram na kumwambia kuwa anaomba ampatie diet yake ili na yeye apungue ambapo msanii huyo alimwambia kuwa apunguze kula na afanye mazoezi.
‘Mie mami ni mazoezi na nakula nimepunguza sana kula ni hivyo tu basi’’alisema Nisha akimwambia Ray C.
Ray C baada ya kupotea kwa muda mrefu alionekana kwa mara ya kwanza akiwa ameonekana kufutuka usoni, kifuani na mapajani ambapo awali kabla ya matatizo ya utumiaji wa madawa hayo hakuwa hivyo.
Msanii wa Bongo Fleva aliyekiri kutumia madawa ya kulevya na kuacha,Rehema Chalamila‘Ray C’ ameonyesha kukerwa na umbo lake la sasa baada ya kunenepa kupita kiasi hali iliyomfanya aombe msaada ili aweze kupungua. Ray C ameomba msaada huo kwa msanii wa Bongo Muvi Salma Jabu ‘Nisha’kupitia mtandao wa instagram na kumwambia kuwa anaomba ampatie diet yake ili na yeye apungue ambapo msanii huyo alimwambia kuwa apunguze kula na afanye mazoezi.
‘Mie mami ni mazoezi na nakula nimepunguza sana kula ni hivyo tu basi’’alisema Nisha akimwambia Ray C.
Ray C baada ya kupotea kwa muda mrefu alionekana kwa mara ya kwanza akiwa ameonekana kufutuka usoni, kifuani na mapajani ambapo awali kabla ya matatizo ya utumiaji wa madawa hayo hakuwa hivyo.

BONGO NEWS 4 NEWS#

No comments :

Post a Comment

Total Pageviews

About Us

Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.

Ads 468x60px

Blog Archive

Followers

IN ENTERTAINMENT

ADVERTISE MENT

**ADVERTISE MENT**

**ADVERTISE MENT**

VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )

TOP HEAD LINES