Recent Posts

coments

HOT HEAD LINES

NEWS+HABARI-ZAIDI

Archive

ALL HERE DONE BY |

ALL HERE DONE BY |

**ADVERTISEMENT**

**ADVERTISE**

**ADVERTISE**

HAPPY BIRTH DAY

HAPPY BIRTH DAY
Powered by Blogger.

UMEONA PICHA ZA WASANII WATAOTUMBUIZA KIGOMA KATIKA KILL TOUR WALIPOWASILI KIGOMA? BASI ZICHEKI HAPA

No comments



Kundi la kwanza la wasanii watakaotumbuiza katika tamasha la Kilimanjaro Music Tour 2013 limewasili mkoani Kigoma kwa ajili ya onyesho hilo. Wasanii hao  8 ni kati ya 12 watakaopanda katika jukwaa moja uwanja wa Lake Tanganyika siku ya Jumamosi. Kundi la pili la wasanii ambao ni Profesa Jay, Diamond, Lady Jaydee na Barnaba wanatarajiwa kuwasili siku ya Jumamosi asubuhi.
Baada ya kupata mlo wa mchana ulioandaliwa na mwenyeji wao ambaye ni  Doctor Gerrard Mipango wasanii hao walipata nafasi ya kutembelea makumbusho ya Doctor Livingistone yaliyoko Ujiji na kujionea historia mbalimbali ya mzungu huyo anayetambuliwa kama mvumbuzi wa Ziwa Tanganyika na pia kuona maeneo biashara ya utumwa ilipokuwa ikifanyika na kujifunza kuhusu asili ya wenyeji wa Mkoa wa Kigoma.
 Mwasiti, Ben Pol na Roma baada ya kutua uwanja wa ndege wa Kigoma
 Fid Q, Kala Jeremiah na DJ Choka eneo la abiria waliowasili uwanja wa ndege
 Fid Q akitoka nje ya uwanja wa ndege
 Roma Mkatoliki akiondoka eneo la uwanja wa ndege
 Recho akijielekeza kwenye usafiri kuelekea hotelini
 Izzo Bizness akitoka uwanja wa ndege wa Kigoma
 Mtoto wa Kigoma Linex alikuwa wa mwisho kutoka nje ya uwanja wa ndege wa Kigoma
Baada ya kufanya ziara wasanii walipata nafasi ya kufanya manunuzi katika soko la Kigoma
 Wasanii wakipata mlo wa mchana nyumbani kwa Askofu Gerrard Mipango mjini Kigoma
 Wakali wa muziki katika picha ya pamoja na wenyeji wao mkoani Kigoma
Wasanii wakiwa katika eneo la mbele ya makumbusho ya Doctor Livingstone
Roma Mkatoliki akisaini kitabu cha wageni kwa niaba ya wasanii wengine

Wasanii wakimsikiliza mtaalam wa historia ya makumbusho ya Doctor Livingstone
 Mwasiti akisoma njia zilizotumika wakati wa biashara ya utumwa.

 Mtaalam wa historia akiwaonyesha wasanii mavazi ya wenyeji wa zamani wa mji wa Ujiji

Fid Q kama anajaribu kuwapatanisha Dr Livingstone na mwenzake.

 Wakazi wa Kigoma wakiwaangalia wasanii wakati wakifanya manunuzi soko kuu la Kigoma
 Muuzaji viatu akiwakaribisha wakali wa muziki kuangalia mzigo
Mashabiki hawa hawakutaka kupoteza nafasi ya kuonyesha upendo kwa Fid Q
 Wasanii wakirejea kwenye basi lao ambalo lilikuwa limezongwa na mashabiki
Mwasiti katika picha ya pamoja na mashabiki waliomuomba
"Konda" wa basi la wasanii Mwasiti akifunga mlango kwa ajili ya kurejea hotelini walikofikiaBONGO NEWS 4 NEWS#

No comments :

Post a Comment

Total Pageviews

About Us

Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.

Ads 468x60px

Blog Archive

Followers

IN ENTERTAINMENT

ADVERTISE MENT

**ADVERTISE MENT**

**ADVERTISE MENT**

VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )

TOP HEAD LINES