Baada Ya Kuwachana Watu Vilivyo Katika Ngoma Yake Mpya Ya Salam Zao, Haya Sasa Ndio 'Mabalaa' Yaliyoanza Kumpata Ney Wa Mitego

Tokea kutoka kwa Wimbo mpya wa Ney wa Mitego, Salam Zao Story ni kwamba msanii huyu sasa amejikuta akipokea vitisho mbalimbali hasa kupitia message za simu kutoka kwa watu wakiwepo wadau wakubwa wa game ya muziki hapa Bongo.
Msanii huyu amesema kuwa, Kitendo hiki cha kumtishia kupitia ujumbe wa simu ukiendelea atafanya maamuzi ya kuziweka wazi kwa watu, ambapo kuanzia leo ameanza kuweka wazi message moja moja mtandaoni.
Ney pia ameenda mbele zaidi na kuchana live kuwa watu wakwanza kuanza ku-panick kutokana na ujumbe mzito kutoka ngoma yake ni wahusika wa msiba wa Marehemu Mangwea na wale wa Marehemu Kanumba ambao katika message zao wametaja na mambo mengine maovu mengi panmoja na wahusika wake.
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Total Pageviews
328713
About Us
Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.
Recent Posts
Ads 468x60px
Blog Archive
Followers
IN ENTERTAINMENT
SERENGETI FIESTA 2013 MKOANI MTWARA NOOOOOMAAAA SAAAANAAAAA
Wakazi wa Mtwara wajitokeza kwa wingi katika Tamasha la Burudani la...SAKATA LA MADAWA YA KULEVYA, DIAMOND APOKONYWA PASSPORT.., MASANJA MKANDAMIZAJI NAYE YUPO
Ni mwendelezo wa Sakata la unga ambalo sasa ni janga kwa taifa letu. Orodha...VIDEO YA YALIO JIRI UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA DIAMOND "NUMBER ONE"
DIAMOND AKI ONGEA NA WAANDISHI WA HABARI Penny Mungilwa - Number 1...
ADVERTISE MENT
**ADVERTISE MENT**

Pages
VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )
STAR VOTE
TOP HEAD LINES
-
Muda au Pesa Nyingi!" Kutongoza ni sanaa ya ushawishi, ambayo lengo lake ni kuanzisha mahusiano ya karibu...
-
PRODYUZA mkali Bongo, Manaiki Sanga amekumbwa na skendo ya aibu kufuatia picha zake ...
-
MUZIKI ni kazi, mataifa mengi, hususan katika mabara ya Ulaya na Amerika Kaskazini, ume...
-
Kujichua au kujichezea(kupiga puri au punyeto) sio kwa wanaume tu bali hata wanawake wanafanya hivyo ila wengi wao huwa hawako hur...
-
Usajili wa wachezaji kwa hatua ya kwanza msimu huu (2013/2014) sasa utafungwa Jumatatu (Agosti 5 mwaka huu) badala ya Agosti 3 mwa...
No comments :
Post a Comment