HATA HAO VIONGOZI UTUTOLEA MACHO YA KUTUTAKA- BATULI
Batuli mwigizaji wa filamu Swahilihood.
.
“Mimi nasema hata bila uoga kabisa sisi akina dada wa Bongo movie tuna mitihani kweli kwani hata hao wakubwa wenyewe ambao ndio msaada ukikutana nao hakuna lolote badala ya kukusaidia kwa kazi yako anakutongoza na shughuli ndio imeisha, mtu anakuita kwa kigezo cha kupitia filamu yako lakini mkiona anakutolea macho anakutaka sasa na wewe filamu hazilipi na unahitaji maisha mazuri,”anasema Batuli.
.
Msanii huyo anasema kuwa anaona wazi kabisa wasanii wa filamu kufanikiwa kwa wakati inakuwa ngumu sana kwani kila mtu anataka kuwa kuwatumia kwa ngono tu kwa sababu anajuwa kuwa wanashida na wanahitaji kutoka, Batuli anasema kuwa pamoja na kuigiza vizuri lakini fursa bado ni chache kwani taasisi kama Basata na nyingine hazijui wajibu wake.
Batuli alienda mbali kwa kutolea mifano wasanii kama wa Naijeiria na nchi zilizoendelea wanavyofaidika na kazi zao bila kutegemea Mapedeshee hali iliyopo Bongo hata wale ambao wangekuongoza na kukuonyesha njia wanakutamani na kukutolea macho, pia msanii amedai kuwa tabia hiyo inashamiri kutokana na baadhi ya wasanii wanapokutana na waheshimiwa badala ya kuongelea soko la filamu utanguliza shida zao.
BONGO NEWS 4 NEWS#
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Total Pageviews
328713
About Us
Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.
Recent Posts
Ads 468x60px
Blog Archive
Followers
IN ENTERTAINMENT
SERENGETI FIESTA 2013 MKOANI MTWARA NOOOOOMAAAA SAAAANAAAAA
Wakazi wa Mtwara wajitokeza kwa wingi katika Tamasha la Burudani la...SAKATA LA MADAWA YA KULEVYA, DIAMOND APOKONYWA PASSPORT.., MASANJA MKANDAMIZAJI NAYE YUPO
Ni mwendelezo wa Sakata la unga ambalo sasa ni janga kwa taifa letu. Orodha...VIDEO YA YALIO JIRI UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA DIAMOND "NUMBER ONE"
DIAMOND AKI ONGEA NA WAANDISHI WA HABARI Penny Mungilwa - Number 1...
ADVERTISE MENT
**ADVERTISE MENT**

Pages
VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )
STAR VOTE
TOP HEAD LINES
-
Muda au Pesa Nyingi!" Kutongoza ni sanaa ya ushawishi, ambayo lengo lake ni kuanzisha mahusiano ya karibu...
-
PRODYUZA mkali Bongo, Manaiki Sanga amekumbwa na skendo ya aibu kufuatia picha zake ...
-
MUZIKI ni kazi, mataifa mengi, hususan katika mabara ya Ulaya na Amerika Kaskazini, ume...
-
Kujichua au kujichezea(kupiga puri au punyeto) sio kwa wanaume tu bali hata wanawake wanafanya hivyo ila wengi wao huwa hawako hur...
-
Usajili wa wachezaji kwa hatua ya kwanza msimu huu (2013/2014) sasa utafungwa Jumatatu (Agosti 5 mwaka huu) badala ya Agosti 3 mwa...
No comments :
Post a Comment