Shoo ya Ally Remtulah ‘live’

Onyesho hilo linalojulikana ‘Fashion Avenue’,
litafanyika Agosti 31, 2013 likitarajiwa kuwaleta pamoja wadau na
wapenzi wa mitindo ndani na nje ya Tanzania ambapo wanamitindo 25
watapanda jukwaani kuonyesha mavazi mbalimbali.
Remtulah ameliambia Starehe kuwa, onyesho hilo
litakuwa la mwaliko pekee na kwamba zaidi ya wageni 500 watajumuika
kushuhudia tukio hilo muhimu katika ulimwengu wa mitindo nchini.
“Kwa wale watakaokosa mwaliko hatukuwasahau,
tumewapa nafasi ya pekee kujionea onyesho hilo kupitia mtandao wa
www.ar.co.tz , ikiwa ni mara ya kwanza nchini onyesho kama hilo
kuonekana kwenye mtandao wa intaneti,” alisema
Remtulah alifafanua kwamba kuonyesha onyesho hilo
kupitia mtandao, itawasaidia mashabiki wengi ndani na nje ya nchi
kushuhudia kila tukio ndani ya onyesho.
Akizungumzia toleo lake jipya , Remtulah alisema kuwa litakuwa na vionjo tofauti na ilivyozoeleka.
“Nguo nilizobuni safari hii ni tofauti kabisa na
zile zilizozoeleka. Ni nguo zinazovalika, lakini nimeziongezea vionjo
zaidi ili kuleta ladha bora itakayokubalika na watu wengi,”
alisisitiza.
Remtulah alisema kuwa mwaka huu ameamua kwenda mbele zaidi na kubuni mavazi atakayoyatangaza kimataifa
zaidi tofauti na ilivyozoeleka kwamba nguo za wabunifu wengi wa
Kitanzania huishia jukwaani.
“Mwaka huu nimepanga kuboresha zaidi mavazi yangu
na kuwa na hadhi ya kimataifa. Hiyo itanisaidia kupata soko popote
duniani,” anasema Remtula.
Alibainisha kwamba ikiwa hilo litakamilika
ataweza kufanya maonyesho mengi nje ya nchi kwa sababu, mbali ya
kuonyesha itakuwa rahisi kwake kuuza hivyo, kuzidi kutambulika duniani.
Kuhusu vyombo vya habari vitakavyoonyesha onyesho
hilo Remtula alisema kuwa kutakuwepo na vyombo vya ndani pamoja na DSTV
watakaorusha onyesho hilo kimataifa.
“Vunja kabati ndio dress code ya Fashion Avenue,” alisema.
MWANANCHI MAGAZIN. BONGO NEWS 4 NEWS#
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Total Pageviews
328707
About Us
Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.
Recent Posts
Ads 468x60px
Blog Archive
Followers
IN ENTERTAINMENT
SERENGETI FIESTA 2013 MKOANI MTWARA NOOOOOMAAAA SAAAANAAAAA
Wakazi wa Mtwara wajitokeza kwa wingi katika Tamasha la Burudani la...SAKATA LA MADAWA YA KULEVYA, DIAMOND APOKONYWA PASSPORT.., MASANJA MKANDAMIZAJI NAYE YUPO
Ni mwendelezo wa Sakata la unga ambalo sasa ni janga kwa taifa letu. Orodha...VIDEO YA YALIO JIRI UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA DIAMOND "NUMBER ONE"
DIAMOND AKI ONGEA NA WAANDISHI WA HABARI Penny Mungilwa - Number 1...
ADVERTISE MENT
**ADVERTISE MENT**

Pages
VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )
STAR VOTE
TOP HEAD LINES
-
Muda au Pesa Nyingi!" Kutongoza ni sanaa ya ushawishi, ambayo lengo lake ni kuanzisha mahusiano ya karibu...
-
PRODYUZA mkali Bongo, Manaiki Sanga amekumbwa na skendo ya aibu kufuatia picha zake ...
-
MUZIKI ni kazi, mataifa mengi, hususan katika mabara ya Ulaya na Amerika Kaskazini, ume...
-
Usajili wa wachezaji kwa hatua ya kwanza msimu huu (2013/2014) sasa utafungwa Jumatatu (Agosti 5 mwaka huu) badala ya Agosti 3 mwa...
No comments :
Post a Comment