DILISH AFURAHIA FEZA KU TOKA BIGBROTHER (BBA)
Mshiriki kutoka nchini Namibia Dillish ameonyesha kufurahia baada ya mshiriki kutoka Tanzania Feza Kessi kuyaaga mashindano hayo usiku wa Jumapili’.
Mshiriki pekee wa Afrika Mashariki aliyekuwa amebakia ndani ya mjengo wa Big Brother Afrika‘BBA’ Feza Kessi ameyaaga mashindano hayo jana usiku Jumapili(August 11)baada ya kupigiwa kura nyingi za kutoka.

Kamera za BBA zilimuonyesha Dillish akifurahia baada ya Feza kutoka nje ya mjengo huyo wakati akihojiwa na mtangazaji wa shindano hilo IK.
Ambapo Dillish alinyanyua mikono yake juu na kusema kwa sauti ‘Yes! Feza Out! Thanks God!’alisikika mshiriki huyo wa Namibia akifurahia kwani Feza ndiye aliyeoneka kuwa na upinzani mkubwa kwa washiriki waliobaki kwenye shindano…

Nguvu ya ushindi wa Feza ilipungua tangu mchumba wake mshiriki kutoka nchini Botswana Oneil kutoka ndani ya mjengo huo wiki iliyopita.
Baada ya Feza kutolewa The Chase sasa atakuwa ameungana na washiriki wengine wa…


Nguvu ya ushindi wa Feza ilipungua tangu mchumba wake mshiriki kutoka nchini Botswana Oneil kutoka ndani ya mjengo huo wiki iliyopita.
Baada ya Feza kutolewa The Chase sasa atakuwa ameungana na washiriki wengine wa Afrika Mashariki kutoka nchini Kenya na Uganda.
Nchi ambayo imebakisha washiriki wawili ni Nigeria pekee ambao ni Beverly na Melvin ambao ni miongoni mwa washiriki 7 walisalia huku zikiwa zimebaki takribani wiki mbili shindano hilo liishe na mshindi kujinyakulia kitita cha $300,000 za Big Brother‘The Chase’.
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Total Pageviews
328711
About Us
Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.
Recent Posts
Ads 468x60px
Blog Archive
Followers
IN ENTERTAINMENT
SERENGETI FIESTA 2013 MKOANI MTWARA NOOOOOMAAAA SAAAANAAAAA
Wakazi wa Mtwara wajitokeza kwa wingi katika Tamasha la Burudani la...SAKATA LA MADAWA YA KULEVYA, DIAMOND APOKONYWA PASSPORT.., MASANJA MKANDAMIZAJI NAYE YUPO
Ni mwendelezo wa Sakata la unga ambalo sasa ni janga kwa taifa letu. Orodha...VIDEO YA YALIO JIRI UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA DIAMOND "NUMBER ONE"
DIAMOND AKI ONGEA NA WAANDISHI WA HABARI Penny Mungilwa - Number 1...
ADVERTISE MENT
**ADVERTISE MENT**

Pages
VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )
STAR VOTE
TOP HEAD LINES
-
Muda au Pesa Nyingi!" Kutongoza ni sanaa ya ushawishi, ambayo lengo lake ni kuanzisha mahusiano ya karibu...
-
PRODYUZA mkali Bongo, Manaiki Sanga amekumbwa na skendo ya aibu kufuatia picha zake ...
-
MUZIKI ni kazi, mataifa mengi, hususan katika mabara ya Ulaya na Amerika Kaskazini, ume...
-
Usajili wa wachezaji kwa hatua ya kwanza msimu huu (2013/2014) sasa utafungwa Jumatatu (Agosti 5 mwaka huu) badala ya Agosti 3 mwa...
No comments :
Post a Comment