BAADA YA YANGA KUENDELEA KUGOMEA MKATABA WA AZAM TV - TENGA AINGILIA KATI - AOMBA MELEZO YA NAMNA AZAM TV WALIVYOPATA DILI LA KUONYESHA LIGI.
Sakata
la klabu ya Yanga kugomea kukubaliana na mkataba wa kati ya kamati ya
Ligi na Azam Media wa kuipa haki za matangazo ya televisheni ya mechi za
ligi kuu kituo cha Azam TV limechukua sura mpya baada ya Raisi wa
shirikisho la soka la nchini TFF Leogdar Tenga kuingilia kati.
Kwa
mujibu wa taarifa rasmi mtandao huu ulizozipata ni kwamba Tenga
amewaandikia barua Yanga akiwaambia kwamba amepata malalamiko yao dhidi
ya mkataba wa urushwaji wa matangazo ya mechi za ligi kupitia Azam TV.
Pia
Tenga amewaambia Yanga kwamba ameiomba kamati ya ligi kumpatia maelezo
namna mchakato mzima wa ugawaji wa tenda hiyo ulivyofanywa mpaka kufikia
maamuzi ya kuingia makubaliano na Azam TV.
Tenga
amewaomba Yanga kuwa wavumilivu ili kushughulikia malalamiko yao
kuhakikisha muafaka unafikiwa kwa ajili ya manufaa ya soka la Tanzania.
CREDIT: ShaffidDauda.com
BONGO NEWS 4 NEWS#
CREDIT: ShaffidDauda.com
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Total Pageviews
328713
About Us
Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.
Recent Posts
Ads 468x60px
Blog Archive
Followers
IN ENTERTAINMENT
SERENGETI FIESTA 2013 MKOANI MTWARA NOOOOOMAAAA SAAAANAAAAA
Wakazi wa Mtwara wajitokeza kwa wingi katika Tamasha la Burudani la...SAKATA LA MADAWA YA KULEVYA, DIAMOND APOKONYWA PASSPORT.., MASANJA MKANDAMIZAJI NAYE YUPO
Ni mwendelezo wa Sakata la unga ambalo sasa ni janga kwa taifa letu. Orodha...VIDEO YA YALIO JIRI UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA DIAMOND "NUMBER ONE"
DIAMOND AKI ONGEA NA WAANDISHI WA HABARI Penny Mungilwa - Number 1...
ADVERTISE MENT
**ADVERTISE MENT**

Pages
VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )
STAR VOTE
TOP HEAD LINES
-
Muda au Pesa Nyingi!" Kutongoza ni sanaa ya ushawishi, ambayo lengo lake ni kuanzisha mahusiano ya karibu...
-
PRODYUZA mkali Bongo, Manaiki Sanga amekumbwa na skendo ya aibu kufuatia picha zake ...
-
MUZIKI ni kazi, mataifa mengi, hususan katika mabara ya Ulaya na Amerika Kaskazini, ume...
-
Kujichua au kujichezea(kupiga puri au punyeto) sio kwa wanaume tu bali hata wanawake wanafanya hivyo ila wengi wao huwa hawako hur...
-
Usajili wa wachezaji kwa hatua ya kwanza msimu huu (2013/2014) sasa utafungwa Jumatatu (Agosti 5 mwaka huu) badala ya Agosti 3 mwa...
No comments :
Post a Comment