Lulu kama Diamond Platnumz, kuzindua Foolish Age mlimani City, soma hapa.
Hatimaye mwanadada Elizabeth Michael (Lulu) yupo teyari kuachia
filamu yake ya kwanza toka atoke jela, filamu aliyoipa jina la Foolish
age inayotarajiwa kuzinduliwa rasmi tarehe 30 mwezi huu.
Akiandika kwenye ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii leo mchana lulu aliandika.
“Nina kila sababu ya kumshukuru Mungu....!!!ninafuraha ya
kuwafahamisha kuwa TAREHE 30/8/2013 ndio siku nitakayozindua movie ya
mpya ya FOOLISH AGE....hatimaye narudi kazini!!!!Uzinduzi utafanyika
katika ukumbi wa MLIMANI CITY....kutakuwepo na wasanii mbalimbali wa
muziki....na pia LADY JAY DEE pamoja na MACHOZI BAND atakuwepo
pia!!!nahitaji support ya mashabiki wote wa LULU na mashabiki wa BONGO
MOVIE.....
Filamu hii inasambazwa ka kampuni ya PROINPROMOTERS.
Huu utakuwa ni uzinduzi mkubwa wa filamu nchini baada ya msanii
wa upande wa muziki wa kizazi kipya Diamond Platnumz kufanya shoo kubwa
ya mziki kwenye ukumbi mkubwa na maarufu wa mlimani city jambo ambalo
sio la kawaida kwa wasanii wa filamu na muziki hapa nchini.
BONGO NEWS 4 NEWS#- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Total Pageviews
328707
About Us
Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.
Recent Posts
Ads 468x60px
Blog Archive
Followers
IN ENTERTAINMENT
SERENGETI FIESTA 2013 MKOANI MTWARA NOOOOOMAAAA SAAAANAAAAA
Wakazi wa Mtwara wajitokeza kwa wingi katika Tamasha la Burudani la...SAKATA LA MADAWA YA KULEVYA, DIAMOND APOKONYWA PASSPORT.., MASANJA MKANDAMIZAJI NAYE YUPO
Ni mwendelezo wa Sakata la unga ambalo sasa ni janga kwa taifa letu. Orodha...VIDEO YA YALIO JIRI UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA DIAMOND "NUMBER ONE"
DIAMOND AKI ONGEA NA WAANDISHI WA HABARI Penny Mungilwa - Number 1...
ADVERTISE MENT
**ADVERTISE MENT**

Pages
VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )
STAR VOTE
TOP HEAD LINES
-
Muda au Pesa Nyingi!" Kutongoza ni sanaa ya ushawishi, ambayo lengo lake ni kuanzisha mahusiano ya karibu...
-
PRODYUZA mkali Bongo, Manaiki Sanga amekumbwa na skendo ya aibu kufuatia picha zake ...
-
MUZIKI ni kazi, mataifa mengi, hususan katika mabara ya Ulaya na Amerika Kaskazini, ume...
-
Usajili wa wachezaji kwa hatua ya kwanza msimu huu (2013/2014) sasa utafungwa Jumatatu (Agosti 5 mwaka huu) badala ya Agosti 3 mwa...
No comments :
Post a Comment