Recent Posts

coments

HOT HEAD LINES

NEWS+HABARI-ZAIDI

Archive

ALL HERE DONE BY |

ALL HERE DONE BY |

**ADVERTISEMENT**

**ADVERTISE**

**ADVERTISE**

HAPPY BIRTH DAY

HAPPY BIRTH DAY
Powered by Blogger.
HUYU NDIYE WAZIRI WA KWANZA MWEUSI ITALIA ALIYEBAGULIWA
No comments

Italia bado imendelea kukumbwa na wimbi kubwa la ubaguzi wa rangi pale Waziri wa Kwanza Mweusi alipotupiwa ndizi alipokuwa akihutubia katika mkutano wa Chama.

Waziri wa Ushirikiano ni Mwitalia wa kwanza mweudi aliyeteuliwa hivi karibuni na amekuwa akipata taabu sana kutokana na dhana ya ubaguzi iliyojengeka miongoni mwa raia wa Italia. Cesile Kyenge ni mzaliwa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye amekuwa akipigania haki ya wahamiaji kupata uraia wa kudumu wa Italia.

Muda mfupi kabla ya tukio hilo siku ya Ijumaa, wanachama wa mrengo wa kulia Forza Nuova waliandamana wakipinga kampeni ya Waziri Kyenge ya kutaka kumpa uraia mtu yeyote isipokuwa aliyezaliwa katika ardhi ya Italia.

“Uhamiaji Unaua” viliandikwa baadhi ya vipeperushi ambapo ndiyo ilikuwa kauli mbiu ya Forza Nuova wakimaanisha kuwa mauaji mengi yaliyofanyika Italia yalisababishwa na Wahamiaji.

Ingawa ndizi alizokuwa akitupiwa zilimkosa, Waziri Kyenge alijibu katika mtanda wa kijamii wa twiter “sad” huzuni kwa kutupa chakula hasa katika wakati huu wa mgogoro wa kiuchumi.

“Ujasiri wa kubadilisha hali ya mambo unatoka ndani mwa mtu” alisema waziri Kyenge.

Hata hivyo, Waziri Kyenge amekuwa akikabiliwa na matusi mara kwa mara hata kutoka kwa wanasiasa wengine. Mapema mwezi huu, Mbunge mwanamizi wa kaskazini anayepinga sheria ya uhamiaji alimtukana matusi na kumlinganisha na “orangutan” Hata hivyo aliomba msamaha baadaye.


Sababu ya kumtupia NDIZI ni kuwa imewaudhi FAR-RIGHT PARTY kwa kupendelea IMMIGRATION
 

** Integration minister Cecile Kyenge has angered far-rights groupsShe is attempting to make it easier for immigrants to gain Italian citizenship

OK, Ndizi Ilimkosa... she's tough... Angalia alivyokuja na JIBU kwenye TWITTER!!!

Although the bananas missed the stage where Kyenge was speaking, she responded to the gesture on Twitter, calling it "sad" and a waste of food, considering the economic crisis.
"The courage and optimism to change things has to come above all from the bottom up to reach the institutions," she added.

Bravo; Ni Tough... How backwards and behind the times the ITALIANS as country regarding

race Is?
Like What Nelson Mandela, used to say FIGHT THE GOOD FIGHT!!!... NEVER GIVE UP!!!!


BONGO NEWS 4 NEWS#

No comments :

Post a Comment

Total Pageviews

About Us

Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.

Ads 468x60px

Blog Archive

Followers

IN ENTERTAINMENT

ADVERTISE MENT

**ADVERTISE MENT**

**ADVERTISE MENT**

VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )

TOP HEAD LINES