Recent Posts

coments

HOT HEAD LINES

NEWS+HABARI-ZAIDI

Archive

ALL HERE DONE BY |

ALL HERE DONE BY |

**ADVERTISEMENT**

**ADVERTISE**

**ADVERTISE**

HAPPY BIRTH DAY

HAPPY BIRTH DAY
Powered by Blogger.

Yanga yaipinga rasmi bodi ya ligi TPL kuipa haki Azam Media kuonesha mechi za ligi kuu

No comments

 Mabingwa wa Tanzania Yanga Africa wametangaza rasmi kupinga mechi za ligi kuu soka Tanzania bara kuoneshwa na Azam Media kupitia kituo chake cha televisheni Azam Tv baada ya kupata haki ya kuonesha mechi hizo wakikishinda kituo cha televisheni cha nchini Africa kusini cha Superspot.

Kikao cha kamati ya utendaji cha klabu hiyo kilichoketi jana kimeamua kupinga hatua hiyo ya Azam media kupewa haki hizo za televisheni na bodi ya ligi kuonesha ligi kuu kwa miaka mitatu kutokea msimu ujao utakaoanza kuunguruma August 24.

Mwenyekiti wa Yanga Yusuph Mehboob Manji amesema mkataba huo hauko wazi wenye mgongano wa kimaslahi,kwakuwa kampuni hiyo ndio inayoimiliki Azam FC ambao ni maadui wakubwa wa Yanga uwanjani.
Manji amelalamikia pia bodi hiyo ya ligi ambayo iko kwa mpito kabla ya kufanyika kwa uchaguzi akisema haina mjumbe hata mmoja kutoka klabu ya Yanga.
 BONGO NEWS 4 NEWS#

No comments :

Post a Comment

Total Pageviews

About Us

Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.

Ads 468x60px

Blog Archive

Followers

IN ENTERTAINMENT

ADVERTISE MENT

**ADVERTISE MENT**

**ADVERTISE MENT**

VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )

TOP HEAD LINES