Recent Posts

coments

HOT HEAD LINES

NEWS+HABARI-ZAIDI

Archive

ALL HERE DONE BY |

ALL HERE DONE BY |

**ADVERTISEMENT**

**ADVERTISE**

**ADVERTISE**

HAPPY BIRTH DAY

HAPPY BIRTH DAY
Powered by Blogger.

JEURI YA PESA : Spurs wataka kuifanyia umafia Arsenal,wafikiria kutumbukiza mkono kwa Suarez

No comments


Wakati wa usajili kuna wengine huwa wanaachwa na maumivu na kuna wengine huwa wanamaliza kipindi hicho wakiwa wanacheka meno yote nje.

Sasa habari mbaya kwa Arsenal ni kwamba Tottenham wanaweza kuwafanyia umafia mahasimu wao hao wa London Kaskazini na kumchukua Luis Suarez kutoka Liverpool,kama Gareth Bale atakamilisha taratibu za kutua Real Madrid.
 
Tayari Madrid wameweka mezani paundi milioni 85 za kumtaka Bale japo mwenyekiti wa Spurs Daniel Levy anaweka ngumu anataka paundi milioni 126.

Habari hizo zinaweza kuwa si nzuri kwa mashabiki wa Arsenal ambao wanaamini Suarez ataisaidia timu hiyo japo Liverpool bado wameweka ngumu kumuuza kwa dau la chini ya paundi milioni 50.
BONGO NEWS 4 NEWS#

No comments :

Post a Comment

Total Pageviews

About Us

Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.

Ads 468x60px

Blog Archive

Followers

IN ENTERTAINMENT

ADVERTISE MENT

**ADVERTISE MENT**

**ADVERTISE MENT**

VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )

TOP HEAD LINES