AMEKUTWA AMEKUFA HUKO MSITU WA KIBAMBA JIJINI DAR.
Pchani ni Mwili
wa Mtu aliyekutwa katupwa katika Msitu wa Kibamba Hospitali na
Makondeko Luguruni, ukiwa katika hali mbaya kutokana na kudhaniwa kuwepo
kwa takribani siku 4 na zaidi, mpaka sasa hajatambulika kwa jina,
kutokana na kuharibika. Kikosi cha Askari kwa kushirikiana na Mjumbe wa
Nyumba kumi kumi, Serikali ya Mitaa, kwa pamoja wamekubaliana kuuzika
Mwili huo Pale alipokutwa katelekezwa. Halii hiyo imesababisha hofu kwa
wakazi wa Maeneo ya Kibamba, Mbezi na Vitogoji vya Jirani. hivyo
wameitaka serikali kuongeza jitihada za Ulinzi ususani wakati wa Usiku
katika Bonde la Makondeko kuelekea Kibamba Hospitali.(Picha Zote na
Shaaban Mpalule).
Baadhi
ya wakazi wa Maeneo ya Kibamba na Makondeko, wakijaribu kutambua Mwili
huo ambao umekutwa Eneo alikokutwa katelekezwa, Bondeni kutoka katika
Daraja la Kibamba Hospitali na Makondeko.
Baadhi ya Askari wakiwa eneo la Tukio kwa Maziko na Uchunguzi.
Baadhi ya
wakazi wa Maeneo ya Kibamba na Makondeko, wakijaribu kutambua Mwili
huo ambao umekutwa Eneo alikokutwa katelekezwa, Bondeni kutoka katika
Daraja la Kibamba Hospitali na Makondeko.
BONGO NEWS 4 NEWS#
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Total Pageviews
328457
About Us
Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.
Recent Posts
Ads 468x60px
Blog Archive
Followers
IN ENTERTAINMENT
SERENGETI FIESTA 2013 MKOANI MTWARA NOOOOOMAAAA SAAAANAAAAA
Wakazi wa Mtwara wajitokeza kwa wingi katika Tamasha la Burudani la...SAKATA LA MADAWA YA KULEVYA, DIAMOND APOKONYWA PASSPORT.., MASANJA MKANDAMIZAJI NAYE YUPO
Ni mwendelezo wa Sakata la unga ambalo sasa ni janga kwa taifa letu. Orodha...VIDEO YA YALIO JIRI UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA DIAMOND "NUMBER ONE"
DIAMOND AKI ONGEA NA WAANDISHI WA HABARI Penny Mungilwa - Number 1...
ADVERTISE MENT
**ADVERTISE MENT**

Pages
VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )
STAR VOTE
TOP HEAD LINES
-
Muda au Pesa Nyingi!" Kutongoza ni sanaa ya ushawishi, ambayo lengo lake ni kuanzisha mahusiano ya karibu...
-
PRODYUZA mkali Bongo, Manaiki Sanga amekumbwa na skendo ya aibu kufuatia picha zake ...
-
MUZIKI ni kazi, mataifa mengi, hususan katika mabara ya Ulaya na Amerika Kaskazini, ume...
-
Kujichua au kujichezea(kupiga puri au punyeto) sio kwa wanaume tu bali hata wanawake wanafanya hivyo ila wengi wao huwa hawako hur...
-
Usajili wa wachezaji kwa hatua ya kwanza msimu huu (2013/2014) sasa utafungwa Jumatatu (Agosti 5 mwaka huu) badala ya Agosti 3 mwa...
No comments :
Post a Comment