MFANYAKAZI WA KAMPUNI YA MWANANCHI APIGWA RISASI....YAINGIA NA KUTOKEA UPANDE WA PILI

Jessica Ngassa akimuhudumia mumewe, Jackson Ngassa ambaye ni mfanyakazi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Idara ya Usambazaji wa Magazeti aliyejeruhiwa kwa kupigwa risasi na majambazi Jumamosi usiku jijini Dar es Salaam.
Watu ambao wanasadikiwa kuwa ni majambazi wamemjeruhi kwa risasi mfanyakazi wa Idara ya Usambazaji ya Mwananchi Communications Limited, Jackson Ngassa.
Tukio hilo lilitokea juzi Jumamosi saa 4 usiku
eneo la Tabata Matumbi baada ya watu hao kumfuatilia Ngassa tangu
alipokuwa anatoka ofisi za Mwananchi eneo la Tabata Relini.
Akizungumza katika Hospitali ya Taifa Muhimbili,
Taasisi ya Mifupa (Moi), Ngassa alisema wakati akitoka ofisini siku hiyo
aliona pikipiki tatu zikiwa nyuma yake lakini hakuhisi kama zilikuwa
zinamfuata mpaka walipofika taa za kuongozea magari za Tabata Dampo.
“Nilipofika Tabata Dampo nilihisi kufuatiliwa kwa
sababu kila nilipopunguza mwendo nao walipunguza mpaka nilipofika
Matumbi ndipo nikasikia wakiniambia simama haraka na kisha wakapiga
risasi moja ambayo ilitoboa tanki la mafuta la pikikipiki,” alisema
Ngassa.
Alisema baada ya kuona hivyo akataka kukimbilia
Benki ya Access iliyoko eneo hilo la Matumbi lakini kabla hajafanya
hivyo pikipiki nyingine ilimzuia kwa mbele na ghafla akasikia risasi
ambayo ilipasua sehemu ya goti mguu wake wa kulia.
Hata hivyo, Ngassa alisema begi hilo halikuwa na
pesa zozote zaidi ya kadi ya benki na magari ya kuchezea watoto
aliyowanunulia watoto wake.
Kwa sasa anaendelea vizuri baada ya kufanyiwa
upasuaji mdogo wa kuunganisha mifupa iliyovunjika kwani risasi
aliyopigwa iliingia na kutoka upande wa pili.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Marietha Minangi
alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na tayari alikwisha mtembelea
majeruhi katika hospitali ya Muhimbili alikolazwa
WS#
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Total Pageviews
328441
About Us
Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.
Recent Posts
Ads 468x60px
Blog Archive
Followers
IN ENTERTAINMENT
SERENGETI FIESTA 2013 MKOANI MTWARA NOOOOOMAAAA SAAAANAAAAA
Wakazi wa Mtwara wajitokeza kwa wingi katika Tamasha la Burudani la...SAKATA LA MADAWA YA KULEVYA, DIAMOND APOKONYWA PASSPORT.., MASANJA MKANDAMIZAJI NAYE YUPO
Ni mwendelezo wa Sakata la unga ambalo sasa ni janga kwa taifa letu. Orodha...VIDEO YA YALIO JIRI UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA DIAMOND "NUMBER ONE"
DIAMOND AKI ONGEA NA WAANDISHI WA HABARI Penny Mungilwa - Number 1...
ADVERTISE MENT
**ADVERTISE MENT**

Pages
VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )
STAR VOTE
TOP HEAD LINES
-
Muda au Pesa Nyingi!" Kutongoza ni sanaa ya ushawishi, ambayo lengo lake ni kuanzisha mahusiano ya karibu...
-
PRODYUZA mkali Bongo, Manaiki Sanga amekumbwa na skendo ya aibu kufuatia picha zake ...
-
MUZIKI ni kazi, mataifa mengi, hususan katika mabara ya Ulaya na Amerika Kaskazini, ume...
-
Kujichua au kujichezea(kupiga puri au punyeto) sio kwa wanaume tu bali hata wanawake wanafanya hivyo ila wengi wao huwa hawako hur...
-
Usajili wa wachezaji kwa hatua ya kwanza msimu huu (2013/2014) sasa utafungwa Jumatatu (Agosti 5 mwaka huu) badala ya Agosti 3 mwa...
No comments :
Post a Comment