Manchester United yataka kuvunja benki kumrudisha Ronaldo
David Moyes aliamua kutumbukia kwa Ronaldo baada ya kusikia Madrid wanamtaka Gareth Bale huku ikielezwa Ronaldo mwenyewe yupo radhi kurudi England.
Mtendaji mpya wa United Ed Woodward amewasiliana na rais wa Madrid Florentino Perez kumuulizia Ronaldo ambaye mpaka sasa hajasaini mkataba mwingine wa kuendelea kubakia Bernabau na ule wa awali umebakisha miaka miwili kumalizika.
Perez alikuwa na uhakika wa Ronaldo kusaini mkataba mwingine wa kuendelea kubaki kwenye timu hiyo na taarifa kuwa yupo tayari kurudi England zimewashtua hilo pia limewafanya kukubali na United kuzungumzia mpango wa mchezaji huyo kurejea kwenye timu hiyo.
Real Madrid kutaka kutoa paundi milioni 85 kumnasa mshambuliaji wa Spurs na Wales Gareth Bale kunatajwa kuwa ni njia ya kuwapoza mashabiki wao kutokana na uwezekano wa Ronaldo kurudi zake United.
Kocha David Moyes tayari ameonesha nia ya kuhitaji huduma ya kiungo wa Barcelona Cesc Fabregas kwa dau litakalovunja rekodi ya klabu hiyo ambayo kwa sasa inakamatwa na mshambuliaji Dimitar Berbatov aliposajiliwa kwa paundi milioni 30.75 akitokea Spurs.
BONGO NEWS 4 NEWS#
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Total Pageviews
328441
About Us
Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.
Recent Posts
Ads 468x60px
Blog Archive
Followers
IN ENTERTAINMENT
SERENGETI FIESTA 2013 MKOANI MTWARA NOOOOOMAAAA SAAAANAAAAA
Wakazi wa Mtwara wajitokeza kwa wingi katika Tamasha la Burudani la...SAKATA LA MADAWA YA KULEVYA, DIAMOND APOKONYWA PASSPORT.., MASANJA MKANDAMIZAJI NAYE YUPO
Ni mwendelezo wa Sakata la unga ambalo sasa ni janga kwa taifa letu. Orodha...VIDEO YA YALIO JIRI UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA DIAMOND "NUMBER ONE"
DIAMOND AKI ONGEA NA WAANDISHI WA HABARI Penny Mungilwa - Number 1...
ADVERTISE MENT
**ADVERTISE MENT**

Pages
VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )
STAR VOTE
TOP HEAD LINES
-
Muda au Pesa Nyingi!" Kutongoza ni sanaa ya ushawishi, ambayo lengo lake ni kuanzisha mahusiano ya karibu...
-
PRODYUZA mkali Bongo, Manaiki Sanga amekumbwa na skendo ya aibu kufuatia picha zake ...
-
MUZIKI ni kazi, mataifa mengi, hususan katika mabara ya Ulaya na Amerika Kaskazini, ume...
-
Kujichua au kujichezea(kupiga puri au punyeto) sio kwa wanaume tu bali hata wanawake wanafanya hivyo ila wengi wao huwa hawako hur...
-
Usajili wa wachezaji kwa hatua ya kwanza msimu huu (2013/2014) sasa utafungwa Jumatatu (Agosti 5 mwaka huu) badala ya Agosti 3 mwa...
No comments :
Post a Comment