Recent Posts

coments

HOT HEAD LINES

NEWS+HABARI-ZAIDI

Archive

ALL HERE DONE BY |

ALL HERE DONE BY |

**ADVERTISEMENT**

**ADVERTISE**

**ADVERTISE**

HAPPY BIRTH DAY

HAPPY BIRTH DAY
Powered by Blogger.

25 wajitosa uchaguzi TFF.

No comments





WAGOMBEA 25 wamejitokeza kuchukua fomu za kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), unaotarajiwa kufanyika Oktoba 27.
Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa TFF, Boniface Wambura, fomu hizo zilianza kutolewa Agosti 16 na hadi jana, wagombea wawili wamejitosa nafasi ya rais, ambao ni Jamal Malinzi na Omar Nkwarulo huku Makamu wa Rais ni Ramadhani Nasib na Wallace Karia.
Aliwataja waliochukua fomu za kuwania ujumbe kuwa ni Athumani Kambi, Charles Komba, Davis Mosha, Elias Mwanjala, Eliud Mvella ‘Wamahanji’, Epaphra Swai, Farid Nahdi, Hussein Mwamba, Jumbe Magati, Kamwanga Tambwe na Khalid Mohamed.
Wengine ni Muhsin Balhabou, Omari Abdulkadir, Omari Walii, Samwel Nyalla, Shaffih 
Dauda, Stanley Lugenge, Twahir Njoki, Vedastus Lufano, Venance Mwamoto na Wilfred Kidau.
Kwa upande wa Bodi ya Ligi Kuu, aliyechukua fomu ni Hamad Yahya anayewania uenyekiti.
BONGO NEWS 4 NEWS#

No comments :

Post a Comment

Total Pageviews

About Us

Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.

Ads 468x60px

Blog Archive

Followers

IN ENTERTAINMENT

ADVERTISE MENT

**ADVERTISE MENT**

**ADVERTISE MENT**

VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )

TOP HEAD LINES