PAMOJA NA KUTOKUWA NA TIMU RASMI - JUMA KASEJA AENDELEA KUPETA TAIFA STARS - AITWA KATIKA KIKOSI CHA KUCHEZA NA GAMBIA.
Kocha
Mkuu wa Taifa Stars, Kim Poulsen ameita kambini wachezaji 24 kujiandaa
kwa mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia dhidi ya Gambia itakayochezwa
Septemba 7 mwaka huu nchini humo.
Wachezaji
hao wanatakiwa kuripoti kambini Agosti 29 mwaka huu kabla ya saa 1
kamili usiku. Kambi ya Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium
Lager itakuwa kwenye hoteli ya Accommondia jijini Dar es Salaam.
Makipa
walioitwa katika timu hiyo Juma Kaseja (Simba), Mwadini Ali (Azam),
Ally Mustafa (Yanga) na Aishi Manula (Azam). Mabeki ni Aggrey Morris
(Azam), Kelvin Yondani (Yanga), Shomari Kapombe (Simba), Nadir Haroub
(Yanga), Erasto Nyoni (Azam), Vincent Barnabas (Mtibwa Sugar) na David
Luhende (Yanga).
Viungo
Khamis Mcha (Azam), Salum Abubakar (Azam), Said Dilunga (Ruvu
Shooting), Frank Domayo (Yanga), Athuman Idd (Yanga), Haruna Chanongo
(Simba), Amir Kiemba (Simba), Mrisho Ngasa (Yanga), Simon Msuva (Yanga),
John Boko (Azam), Thomas Ulimwengu (TP Mazembe, Jamhuri ya Kidemokrasi
ya Congo), Mbwana Samata (TP Mazembe, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo)
na Juma Liuzio (Mtibwa Sugar).
BONGO NEWS 4 NEWS#
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Total Pageviews
328707
About Us
Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.
Recent Posts
Ads 468x60px
Blog Archive
Followers
IN ENTERTAINMENT
SERENGETI FIESTA 2013 MKOANI MTWARA NOOOOOMAAAA SAAAANAAAAA
Wakazi wa Mtwara wajitokeza kwa wingi katika Tamasha la Burudani la...SAKATA LA MADAWA YA KULEVYA, DIAMOND APOKONYWA PASSPORT.., MASANJA MKANDAMIZAJI NAYE YUPO
Ni mwendelezo wa Sakata la unga ambalo sasa ni janga kwa taifa letu. Orodha...VIDEO YA YALIO JIRI UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA DIAMOND "NUMBER ONE"
DIAMOND AKI ONGEA NA WAANDISHI WA HABARI Penny Mungilwa - Number 1...
ADVERTISE MENT
**ADVERTISE MENT**

Pages
VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )
STAR VOTE
TOP HEAD LINES
-
Muda au Pesa Nyingi!" Kutongoza ni sanaa ya ushawishi, ambayo lengo lake ni kuanzisha mahusiano ya karibu...
-
PRODYUZA mkali Bongo, Manaiki Sanga amekumbwa na skendo ya aibu kufuatia picha zake ...
-
MUZIKI ni kazi, mataifa mengi, hususan katika mabara ya Ulaya na Amerika Kaskazini, ume...
-
Usajili wa wachezaji kwa hatua ya kwanza msimu huu (2013/2014) sasa utafungwa Jumatatu (Agosti 5 mwaka huu) badala ya Agosti 3 mwa...
No comments :
Post a Comment