Recent Posts

coments

HOT HEAD LINES

NEWS+HABARI-ZAIDI

Archive

ALL HERE DONE BY |

ALL HERE DONE BY |

**ADVERTISEMENT**

**ADVERTISE**

**ADVERTISE**

HAPPY BIRTH DAY

HAPPY BIRTH DAY
Powered by Blogger.

RAISI WA ZIMBABWE MUGABE KU APISHWA LEO...

No comments

Rais Robert Mugabe (89)anategemewa kuapisha leo mjini Harare ili kuendelea kutumikia nafasi hiyo kwa kipindi kingine cha miaka mitano.

Sherehe hizo zinatarajiwa kuhudhuriwa na wakuu wa nchi 30, akiwemo Rais wa Tanzania Dr. Jakaya Kikwete na marais wastaafu Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa.

Akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Harare, Benjamin Mkapa alisema “ushindi wa kishindo wa Rais Mugabe unadhihirisha kuwa wananchi wa Zimbabwe wana imani kubwa na Rais wao na ni lazima uamuzi wao uheshimiwe ili kuwapa nafasi Wazimbabwe kujenga nchi yao.”


BONGO NEWS 4 NEWS#

No comments :

Post a Comment

Total Pageviews

About Us

Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.

Ads 468x60px

Blog Archive

Followers

IN ENTERTAINMENT

ADVERTISE MENT

**ADVERTISE MENT**

**ADVERTISE MENT**

VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )

TOP HEAD LINES