Recent Posts

coments

HOT HEAD LINES

NEWS+HABARI-ZAIDI

Archive

ALL HERE DONE BY |

ALL HERE DONE BY |

**ADVERTISEMENT**

**ADVERTISE**

**ADVERTISE**

HAPPY BIRTH DAY

HAPPY BIRTH DAY
Powered by Blogger.

Chelsea yaifunga 2-1 Aston Villa

No comments


Jose Mourinho anaendela kufanya vizuri katika ligi kuu ya England baada ya kufuatia ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Aston VIlla.
Mourinho katika mazungumzo na waandishi alisema ana uhakika Chelsea itaendelea kufanya vizuri katika msimu huu na kufanikisha kuchukua ubingwa.
Mourinho anafahamu Chelsea ilibahatika.Wameshinda wakati Branislav Ivanovic, ambaye angepewa kadi nyekundu kiulaini kwa kumchezea rafu Benteke, kufunga bao la ushindi.
Luna alitangulia kuifungia Chelsea dakika ya saba kabla ya Benteke kusawazisha dakika ya 45 na Ivanovic akafunga la ushindi dakika ya 73.
Kikosi cha Chelsea kilikuwa:Cech, Ivanovic, Cahill, Terry, Cole, Ramires, Lampard, Oscar/Van Ginkel dk84, Mata/Schurrle dk65, Hazard na Ba/Lukaku dk65.
BONGO NEWS 4 NEWS#

No comments :

Post a Comment

Total Pageviews

About Us

Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.

Ads 468x60px

Blog Archive

Followers

IN ENTERTAINMENT

ADVERTISE MENT

**ADVERTISE MENT**

**ADVERTISE MENT**

VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )

TOP HEAD LINES