KUMBE STAA WA PRISON BREAK, MICHAEL SCOLFIELD NI SHOGA? HIVI NDIVYO ALIVYOTOBOA SIRI
MUIGIZAJI aliyejipatia umaarufu katika tamthilia ya 'Prison Break'
Wentworth Miller maarufu kwa jina la 'Michael Scolfield' ameamua
kujitangaza rasmi kuwa yeye ni shoga.
Muigizaji huyo ameamua kuweka wazi kitendo hicho baada ya kupokea barua
ya mwaliko wa kuhudhuria tamasha la filamu la kimataifa lililotarajiwa
kufanyika St. Petersburg nchini Urusi
Kwa mujibu wa taarifa iliyoandikwa kupitia mtandao wa 'People.com'
imeweka wazi kuwa Scolfield amekataa mwaliko huyo wa kuitembelea nchi
hiyo kutokana na sheria zao zinazowabana wanaume wanaojihusisha na
ushoga.
Taarifa hiyo ilieleza kuwa baada ya muigizaji huyo kuipokea barua hiyo
ya mwaliko ndipo alipoamua kuijibu kwa kuweka wazi kuwa kitendo cha nchi
hiyo kuweka sheria ya kuwabana mashoga ndio sababu kubwa inayompelekea
kushindwa kuhudhuria tamasha hilo.
"Nashukuru kwa mwaliko wenu, mimi nina asili kiasi ya Urusi ingenipa
faraja sana kuitembelea nchi hiyo, lakini kutokana na sheria zenu mimi
nikiwa kama shoga lazima niukatae mualiko huo" aliandika Scolfield na
kuongezea kuwa."Ninaumiwa kwa kiasi kikubwa na jinsi mashoga
wanavyotendewa na serikali hiyo".
Scolfield alieleza kuwa kutokana na sheria hiyo na jinsi serikali ya
nchi hiyo inavyowachukulia mashoga hao hawezi kushiriki kwa amani kwenye
tukio hilo lililoandaliwa na nchi inayowanyanyasa watu kama wao ikiwa
pamoja na kuwanyima haki yao ya msingi ya kusihi.
Mwezi June nchi hiyo ilianzisha sheria dhidi ya ushoga iliyosainiwa na
rais wa nchi hiyo Vladimir Putin ambayo imezua mijadala ya wazi jinsi
sheria hiyo inavyokataza wapenzi wa jinsia moja.
Wentworth ni muigizaji aliyejipatia umaarufu kwenye tamthilia ya Prison
Break mnamo mwaka 2005 hadi 2009, ingawa ameweza kushiriki pamoja na
kuandaa filamu nyingine tofauti tofauti ikiwemo 'Stoker'.
BONGO NEWS 4 NEWS#- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Total Pageviews
328693
About Us
Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.
Recent Posts
Ads 468x60px
Blog Archive
Followers
IN ENTERTAINMENT
SERENGETI FIESTA 2013 MKOANI MTWARA NOOOOOMAAAA SAAAANAAAAA
Wakazi wa Mtwara wajitokeza kwa wingi katika Tamasha la Burudani la...SAKATA LA MADAWA YA KULEVYA, DIAMOND APOKONYWA PASSPORT.., MASANJA MKANDAMIZAJI NAYE YUPO
Ni mwendelezo wa Sakata la unga ambalo sasa ni janga kwa taifa letu. Orodha...VIDEO YA YALIO JIRI UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA DIAMOND "NUMBER ONE"
DIAMOND AKI ONGEA NA WAANDISHI WA HABARI Penny Mungilwa - Number 1...
ADVERTISE MENT
**ADVERTISE MENT**

Pages
VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )
STAR VOTE
TOP HEAD LINES
-
Muda au Pesa Nyingi!" Kutongoza ni sanaa ya ushawishi, ambayo lengo lake ni kuanzisha mahusiano ya karibu...
-
PRODYUZA mkali Bongo, Manaiki Sanga amekumbwa na skendo ya aibu kufuatia picha zake ...
-
MUZIKI ni kazi, mataifa mengi, hususan katika mabara ya Ulaya na Amerika Kaskazini, ume...
-
Usajili wa wachezaji kwa hatua ya kwanza msimu huu (2013/2014) sasa utafungwa Jumatatu (Agosti 5 mwaka huu) badala ya Agosti 3 mwa...
-
Kujichua au kujichezea(kupiga puri au punyeto) sio kwa wanaume tu bali hata wanawake wanafanya hivyo ila wengi wao huwa hawako hur...
No comments :
Post a Comment