NIGERIA YATIA AIBU - WACHEZAJI WAKE WAFELI KIPIMO CHA UMRI KWA AJILI YA KUSHIRIKI MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA U17.

Nigeria
itacheza michuano ya kombe la dunia chini ya umri wa miaka 17 mwezi wa
10 mwaka huu baada ya wachezaji wake muhimu kufeli kipimo cha kutambua
umri sahihi.
Kikosi cha Nigeria, ambacho kilimaliza katika nafasi ya pili kwenye
michuano ya mataifa huru ya Afrika 2013 nchini Morocco, kilifanyiwa
vipimo vya MRI jijini Abuja ili kuweza kupata ukweli kwamba wana umri wa
miaka 17 kuelekea michuano ya kombe la dunia kwa vijana wa umri
itakayofanyika mwezi wa 10 huko Uarabuni UAE.
Kufuatia
tukio hilo, kocha wa Nigeria Manu Garba, amesisitiza bado ana kikosi
kizuri cha kwenda kushindana pamoja na kuwapoteza muhimu waliofeli
vipimo hivyo.
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Total Pageviews
328703
About Us
Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.
Recent Posts
Ads 468x60px
Blog Archive
Followers
IN ENTERTAINMENT
SERENGETI FIESTA 2013 MKOANI MTWARA NOOOOOMAAAA SAAAANAAAAA
Wakazi wa Mtwara wajitokeza kwa wingi katika Tamasha la Burudani la...SAKATA LA MADAWA YA KULEVYA, DIAMOND APOKONYWA PASSPORT.., MASANJA MKANDAMIZAJI NAYE YUPO
Ni mwendelezo wa Sakata la unga ambalo sasa ni janga kwa taifa letu. Orodha...VIDEO YA YALIO JIRI UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA DIAMOND "NUMBER ONE"
DIAMOND AKI ONGEA NA WAANDISHI WA HABARI Penny Mungilwa - Number 1...
ADVERTISE MENT
**ADVERTISE MENT**

Pages
VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )
STAR VOTE
TOP HEAD LINES
-
Muda au Pesa Nyingi!" Kutongoza ni sanaa ya ushawishi, ambayo lengo lake ni kuanzisha mahusiano ya karibu...
-
PRODYUZA mkali Bongo, Manaiki Sanga amekumbwa na skendo ya aibu kufuatia picha zake ...
-
MUZIKI ni kazi, mataifa mengi, hususan katika mabara ya Ulaya na Amerika Kaskazini, ume...
-
Usajili wa wachezaji kwa hatua ya kwanza msimu huu (2013/2014) sasa utafungwa Jumatatu (Agosti 5 mwaka huu) badala ya Agosti 3 mwa...
No comments :
Post a Comment