Recent Posts

coments

HOT HEAD LINES

NEWS+HABARI-ZAIDI

Archive

ALL HERE DONE BY |

ALL HERE DONE BY |

**ADVERTISEMENT**

**ADVERTISE**

**ADVERTISE**

HAPPY BIRTH DAY

HAPPY BIRTH DAY
Powered by Blogger.

NIGERIA YATIA AIBU - WACHEZAJI WAKE WAFELI KIPIMO CHA UMRI KWA AJILI YA KUSHIRIKI MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA U17.

No comments


Nigeria itacheza michuano ya kombe la dunia chini ya umri wa miaka 17 mwezi wa 10 mwaka huu baada ya wachezaji wake muhimu kufeli kipimo cha kutambua umri sahihi. 
Kikosi cha Nigeria, ambacho kilimaliza katika nafasi ya pili kwenye michuano ya mataifa huru ya Afrika 2013 nchini Morocco, kilifanyiwa vipimo vya MRI jijini Abuja ili kuweza kupata ukweli kwamba wana umri wa miaka 17 kuelekea michuano ya kombe la dunia kwa vijana wa umri itakayofanyika mwezi wa 10 huko Uarabuni UAE. 
Kufuatia tukio hilo, kocha wa Nigeria Manu Garba, amesisitiza bado ana kikosi kizuri cha kwenda kushindana pamoja na kuwapoteza muhimu waliofeli vipimo hivyo.

No comments :

Post a Comment

Total Pageviews

About Us

Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.

Ads 468x60px

Blog Archive

Followers

IN ENTERTAINMENT

ADVERTISE MENT

**ADVERTISE MENT**

**ADVERTISE MENT**

VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )

TOP HEAD LINES