FILAMU YA GOING BONGO FILAMU ILIYOTENGENEZWA KWA M. 450.
Picha ya Going Bongo iliyogharim M. 450 za Kibongo.
“Filamu ya Going Bongo ni kazi nzuri ambayo imewakutanisha watu wa mataifa mengi kulingana na fani za filamu, lakini pia wasanii wakubwa wa filamu wa Tanzania na nje ya nchi wameigiza pamoja na wasanii wa ndani ni hatua moja ya ukuzaji wa tasnia ya filamu Bongo, huku kukiwa na changamoto ya makapuni mengine kuwekeza pesa nyingi katika filamu,”anasema Nick.
Nchi zilizoshirikiana katika utayarishaji wa filamu hiyo ni Tanzania, Italy, Kenya, Marekani, UK, Turkey na filamu ya Going Bongo ilianza kurekodiwa Marekani katika jiji la Los Angeles, California na kuja kumaliziwa Tanzania wasanii walioshiriki katika filamu hiyo ni Ernest “Napoleon” Rwandalla kinara wa filamu, Ashley Olds huyu kutoka Marekani.
.
Wengine ni Emanuella Galliusi kutoka Itali na Nyokabi Gethaiga kutoka Kenya, kwa hapa nyumbani kuna waigizaji wakubwa kama Ahmed Olutu “Mzee Chilo”, McDonald Haule, Sauda Simba Kilumang , na mtangazaji mahiri wa Redio , Evans Bukuku ambaye pia ni mchekeshaji kutoka Redio Choice Fm.
Watayarishaji wa filamu ya Going Bongo ni Nick Marwa, Ernest Napoleon, Bryan Ronalds, mswada umeandikwa na Ernest Napoleon Rwandallah na Gregory Zyment wapiga picha ni mwanadada Leslie Bumgarner kutoka Marekani akisaidiwa na George Mboya kutoka Kenya, Filamu imeongozwa na Dean Ronalds.
Kulingana na makampuni ya usambazaji kununua filamu kwa kiwango cha chini inawezekana ikawa ni vigumu kuweza kununua filamu hiyo ambayo bajeti yake ya utayarishaji pekee ni milioni 450 za Kitanzania, filamu hiyo inatarajiwa kuonyeshwa Toronto Canada na baadae katika nchi zote washirika katika kutengeneza. Pia unaweza kuangalia Trailer kwa kupitia www.vimeo.com/71947975
BONGO NEWS 4 NEWS#
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Total Pageviews
328707
About Us
Spice Mag - Premium free blogger template developed by spicytricks.com.
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Maecenas hendrerit iaculis nunc. Curabitur in eros ipsum. Pellentesque habitant morbi tristique senectus et netus et malesuada fames ac turpis egestas. Duis at mi justo, non suscipit elit. Nunc aliquam luctus adipiscing. Nullam sit amet lacus vitae odio congue mollis eu non magna. Duis sed arcu a libero adipiscing rhoncus. Aliquam erat volutpat. Suspendisse sed nunc metus, sed aliquet arcu.
Recent Posts
Ads 468x60px
Blog Archive
Followers
IN ENTERTAINMENT
SERENGETI FIESTA 2013 MKOANI MTWARA NOOOOOMAAAA SAAAANAAAAA
Wakazi wa Mtwara wajitokeza kwa wingi katika Tamasha la Burudani la...SAKATA LA MADAWA YA KULEVYA, DIAMOND APOKONYWA PASSPORT.., MASANJA MKANDAMIZAJI NAYE YUPO
Ni mwendelezo wa Sakata la unga ambalo sasa ni janga kwa taifa letu. Orodha...VIDEO YA YALIO JIRI UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA DIAMOND "NUMBER ONE"
DIAMOND AKI ONGEA NA WAANDISHI WA HABARI Penny Mungilwa - Number 1...
ADVERTISE MENT
**ADVERTISE MENT**

Pages
VIDEO OFTHE DAY (Diamond Platnumz - Number One (Official Video Music) )
STAR VOTE
TOP HEAD LINES
-
Muda au Pesa Nyingi!" Kutongoza ni sanaa ya ushawishi, ambayo lengo lake ni kuanzisha mahusiano ya karibu...
-
PRODYUZA mkali Bongo, Manaiki Sanga amekumbwa na skendo ya aibu kufuatia picha zake ...
-
MUZIKI ni kazi, mataifa mengi, hususan katika mabara ya Ulaya na Amerika Kaskazini, ume...
-
Usajili wa wachezaji kwa hatua ya kwanza msimu huu (2013/2014) sasa utafungwa Jumatatu (Agosti 5 mwaka huu) badala ya Agosti 3 mwa...
No comments :
Post a Comment